Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Mdogo wangu, mimi naanzaje kuwa mnyonge. Napenda ustaarabu but mtu akinitibua tunatibuana haswaa. Wee subiri utaona.Humu usiwe mnyonge ndugu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo wangu, mimi naanzaje kuwa mnyonge. Napenda ustaarabu but mtu akinitibua tunatibuana haswaa. Wee subiri utaona.Humu usiwe mnyonge ndugu yangu
Mnaoweza ndundi pambaneni tu😂Humu usiwe mnyonge ndugu yangu
Safi sanaMdogo wangu, mimi naanzaje kuwa mnyonge. Napenda ustaarabu but mtu akinitibua tunatibuana haswaa. Wee subiri utaona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinachonichekesha wakishindwa, wanaenda report kwa modes watoe Ban, mchapoo wotee tunao.Nakusubiri luv. Ila ajue mimi ni kichaa na mwehu hee. Siku nitaamka na nitaweka list hao wafungue pm zao, niwape wanayosemwa yote. Ngoja acheze na hiki kichwa. Habari ataipata.
Unakumbuka ile usiku akajifanya kunisalimia, nikamwambia kwenye ID nyingine ulinitukana, akakana. Sasa leo hiyo ID nyingine ndiyo anatudhalilisba nayo. Kuna mbweha lina wivu na wadada, basi kazi kumtumba nguchiro, atukane.Bantu Lady waambie staff watampa anachostahili kwa Nini atukane hovyo humu ndani
🤣😁🤣 Njoo mim na wewe basiMnaoweza ndundi pambaneni tu😂
Humu yawezekana Kuna syndicate flan ya watu mnajuana au mna magroup yenu ya pembeni maana asubuhi nkilogin nakuta ban zimetembea wengine mnaulizana umenusurikaje😁mnakua mnafanyaje?Humu usiwe mnyonge ndugu yangu
Inabidi tuanze kuripoti huyo kaishiwa hojaUnakumbuka ile usiku akajifanya kunisalimia, nikamwambia kwenye ID nyingine ulinitukana, akakana. Sasa leo hiyo ID nyingine ndiyo anatudhalilisba nayo. Kuna mbweha lina wivu na wadada, basi kazi kumtumba nguchiro, atukane.
Sina nguvu za kupigana mimi🤣😁🤣 Njoo mim na wewe basi
Mkuu humu wakiwa hawana hoja huishia kutoa matusi kwa wenzao kitu ambacho jf haitakiwi hii forums ni nzuri sana ila wapo wanao haribu kwa matusi hii forumHumu yawezekana Kuna syndicate flan ya watu mnajuana au mna magroup yenu ya pembeni maana asubuhi nkilogin nakuta ban zimetembea wengine mnaulizana umenusurikaje😁mnakua mnafanyaje?
Sio ngumi hizo ni zile zingineSina nguvu za kupigana mimi
Nina mchumba angu ni mtaalam wa hizo kazi!Sio ngumi hizo ni zile zingine
Sio hizo ephen 😁🤣Nina mchumba angu ni mtaalam wa hizo kazi!
Kuna ujinga, nami nilivoona hayo nikajitoa. Toka mwaka jana sikuwa humu. Sasa mtu kaona kapotezewa ndiyo anatuma watu kama hivyo, wakudhalilishe na kutukana. Si kujuana nje ya JF No. Alitaka tuonane nje ya JF nikamtolea nje. Hasira anamalizia hapo, kakosa la kuja kuoeleka umbea 😅😅😅😅😅Humu yawezekana Kuna syndicate flan ya watu mnajuana au mna magroup yenu ya pembeni maana asubuhi nkilogin nakuta ban zimetembea wengine mnaulizana umenusurikaje😁mnakua mnafanyaje?
Bora nilivyofunga pm kuepuka ugomvi wa mara kwa maraKuna ujinga, nami nilivoona hayo nikajitoa. Toka mwaka jana sikuwa humu. Sasa mtu kaona kapotezewa ndiyo anatuma watu kama hivyo, wakudhalilishe na kutukana. Si kujuana nje ya JF No. Alitaka tuonane nje ya JF nikamtolea nje. Hasira anamalizia hapo, kakosa la kuja kuoeleka umbea 😅😅😅😅😅
😁🤣 Unaogopa nin mbona Mimi yangu sifungiBora nilivyofunga pm kuepuka ugomvi wa mara kwa mara
Kipindi hiko nilikuwa sijui kufunga. Baada ya hapo nimeifunga. Ila naelewa huyo mtu ni mshamba na mswahili. So anahisi na hapa ni huko anakoishi agombanishe watu ndiyo furaha yake. Miye nitamghechaBora nilivyofunga pm kuepuka ugomvi wa mara kwa mara
Mbona najua ila inabid kuishi naoHisia zako tu unahisi wanajigamba lkn kiuhalisia range za kimaisha ni ndogo ndogo tu hasa kwa tabaka la kati
Sema watu mna mambo mengi😁, ila kama umemjua wa hvo kwanini anakuharibia siku mapema hvo?Kuna ujinga, nami nilivoona hayo nikajitoa. Toka mwaka jana sikuwa humu. Sasa mtu kaona kapotezewa ndiyo anatuma watu kama hivyo, wakudhalilishe na kutukana. Si kujuana nje ya JF No. Alitaka tuonane nje ya JF nikamtolea nje. Hasira anamalizia hapo, kakosa la kuja kuoeleka umbea 😅😅😅😅😅