Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Pole dear, πππππ nacheka kama mazuri. Kichaa iko siku yake ataingia kwenye 18 nakwambia. Hii tabia itaisha tu, tuombe uzima.Id yangu imechongewa ila ushanijua π
Ana kikundi cha kutuma watu, wengine tunacheka nao humu ila pembeni ma snitch.Pole dear, πππππ nacheka kama mazuri. Kichaa iko siku yake ataingia kwenye 18 nakwambia. Hii tabia itaisha tu, tuombe uzima.
Huwezi amini, sikuwa nikicheka wengine wakitukanwa, but alinizoea na kumpotezea mtu hajanikosea siwezi. Ila sasa nafikiri unaelewa why namimi kaamza kunishambulia. Hii tabia tutaikomesha, kuanzia anayemtuma mpaka anayefanya. Karibu tena πππ
Hilo mbona nalijua fika, labda umesahau tu. Ana ID's za kujisifia, za kutukana watu. Kikundi cha kutukana watu. Akigombana na mtu, unashangaa ID kibao zinajitokeza kumshambulia mpinzani wake. Naelewa yote na zaidi dear. Namjua nje ndani nasubiri tu aingie vizuri anga zangu. Majibu utayaona, siongei nafanya vitendo tu.Ana kikundi cha kutuma watu, wengine tunacheka nao humu ila pembeni ma snitch.
Unafki mwingi humu kaa kwa password.
Kuwa makini unaocheka nao wengine ni maspy wake.Hilo mbona nalijua fika, labda umesahau tu. Ana ID's za kujisifia, za kutukana watu. Kikundi cha kutukana watu. Akigombana na mtu, unashangaa ID kibao zinajitokeza kumshambulia mpinzani wake. Naelewa yote ma zaidi dear. Namjua nje ndani nasubiri tu aingie vizuri anga zangu. Majibu utayaona, siongei nafanya vitendo tu.
ππ€£π€£ Nipe mbinuCold feet. Vikija vyakushtusha nitashutka ππ Amani iwe juu yako
Nimekuelewa sana na ahsante. Ila yeye ndiyo awe makini namimi π€£π€£π€£π€£π€£π€£ nikiamua kupindua meli izame hehehee... Karibu lunch π½πΉKuwa makini unaocheka nao wengine ni maspy wake.
Huwezi unamuogopa πNimekuelewa sana na ahsante. Ila yeye ndiyo awe makini namimi π€£π€£π€£π€£π€£π€£ nikiamua kupindua meli izame hehehee... Karibu lunch π½πΉ
πππ una biti.Hunijui, halafu wewe ngoja ninyamaze. Tuongee mengine. Shida yangu kwanza ilikiwa ya yule kenge sema matusi yake mods washayafuta. Aendelee, mimi siogopagi mtu my dear hata wewe ukiniletea za kuleta tunaanza hapahapa π€£π€£π€£π€£π€£π€£ oyaa Ban yako ya muda gani kwanza?
Mbwinu kuu "Pendaneni masikini nyie ππππ€£π€£ Nipe mbinu
I know, but achana nao dear. Be happy maisha ni mafupi. Kuna mengi ya furaha na ya thamani ikiwemo watu nje ya hapa JF. Fanya kama hawapo humu huwaoni, ukirudi potezea kila kitu. Mimi naweza nikaishi na mtu nikamfanya kama kafa ni vile mtu ananiquote kuniuliza but tufanye wamekufa na tumewazika.πππ una biti.
Mimi mbugi langu lazima watoe milio wakasemelee ninyamazishwe hivi hivi hawatoboi.
Hao nilishawapuuza thatβs why wanateseka kila wanionapo, kwanza mimi na wao ni mbingu na ardhi. Wamepauka njaa tupu zimewajaa zaidi ya kuzurula humu hawana jipya. ποΈI know, but achana nao dear. Be happy maisha ni mafupi. Kuna mengi ya furaha na ya thamani ikiwemo watu nje ya hapa JF. Fanya kama hawapo humu huwaoni, ukirudi potezea kila kitu. Mimi naweza nikaishi na mtu nikamfanya kama kafa ni vile mtu ananiquote kuniuliza but tufanye wamekufa na tumewazika.
Zamisha MV LyembaNimekuelewa sana na ahsante. Ila yeye ndiyo awe makini namimi π€£π€£π€£π€£π€£π€£ nikiamua kupindua meli izame hehehee... Karibu lunch π½πΉ
ππ€£π€£ππ Naunga mkono hoja Tajiri wangupE
Mbwinu kuu "Pendaneni masikini nyie ππ
ππKumbe bado unampenda, vunja ndoa yake umuoe