Do you forget safari lager..?Nini kilikupata tena..kijana mkorofi wewe jamani kha?
Blaza naomba umtafute mchawi aliyekuloga tumuombe msamaha Kwa ajili yakoDo you forget safari lager..?
Nilikuwa na mchepu,baada ya kuzipiga mchepu akazima kwenye usafiri nami nikajisahau na nikamsahau Kama yupo si nikasafirinae mpk kwa bi mkubwa!
Kilichonikuta naacha safari naamia Serengeti lager..🤣
Achana na mimi nakwambiaAhsante ila usichokijua nishafuta hata kabla sijakujibu malalamiko yako ya nifute ile komenti..😊
Hivi una naniliu humu nini maana mh!
Tunataka tumuombe apunguze ukali kidogo maana hali ni mbayaKwa jinsi nimjuavyo mkimtafuta tu ataongeza dawa bora mtulie mkakomaa na haya tu!
So what are going to do..?
Blaza hauna shemeji humu ndani..siku akipatikana nitaenda kumtangaza BBC ama CNNShemeji yupo humu maana sikuhizi umekuwa likali kinyama halafu na hizo avatar nafikiri kuna ksjavah unataka umlowe..🤣
View attachment 2129775
Anyone who remember this movie..? Character gani alikuvutia zaidi..? Binafsi monalisa na ndio mpaka sasa amebaki kuwa muigizaji bora wakike ninaemkubali..
View attachment 2129776
🤣🤣🤣🤣🤣akili yako si nzuri ujueMwenyewe napenda kinyama kuwa hivi..😂
Hebu fanya manuva basi nazeeka dadako ujueHaha! Nitakutafutia mtaalum akufanyie manuva umpate..😎
Safe hiyo kwema!But am safe..😊