Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa sasa siungesema taulo lainiHujaelewa eeh
Nimesema vitambaa vya cotton mithili ya taulo vile vidogo vidogo
Tutakuwa na kazi navyo kwenye honey moon
Sio taulo! BanaKhaaa sasa siungesema taulo laini
😂Tumuulize kwanza taulo la nini nani atafutiwaasije tu akasema yeye bado... hapo ndo nitaamsha mizimu mpaka ya akina yuda...🤣🤣
La sote! Sote tutalitumia😁😂Tumuulize kwanza taulo la nini nani atafutiwa
Kwel una moto na hiyo asali ya mwezi unaonyesha utakichafua kinyama hiyo siku😁Msije mikono mitupu
Nileteeni hata zawadi ya vitambaa vya cotton
Au vile vitaulo vidogo vidogo ..tuna kazi navyo kwenye honey moon
Ndo maana nataka vingi hata dazeni sio mbayaKwel una moto na hiyo asali ya mwezi unaonyesha utakichafua kinyama hiyo siku😁
Umeamua kuamisha majeshi ghafla 😁😁nambie mkuu...
Nakuja pm kuchukua namba ya kungwiNdio kwa mujibu WA kungwi wangu
Unafikir nilikuwa najua basi mi mwenzio mgeni wa haya mambo..
Ila huyu kungwi kanifumbua macho yani ni ana madini balaa