CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Should i count you in?Karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Should i count you in?Karibu
No! thank youShould i count you in?
A no without exclamation mark would be just fine tho😌No! thank you
Imekaa ki hasira au kibabe?A no without exclamation mark would be just fine tho😌
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli kwa boss siwezi muacha, ni vile tyuuh yeye ameamua kunikaushiaa, siku akirudisha majeshi nampokea kwa mikono miwili. WoiiiiihMimi uduguu na mchanga nalamba ndo ntoleee hiyo sigeuki nyuma tenaah.!! Drama za jf nimefunga rasmi [emoji357]
Ila ww na shogire wa chaka to chaka hamuaminiki kabisaa, hamna dhamana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najua, mtu akianza kupenda anaanza kutaka kukushepu lazima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anahisi tayari ushakuwa mali yake
Nilijua tu na huku mpo nyie watukutu wa JF.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli kwa boss siwezi muacha, ni vile tyuuh yeye ameamua kunikaushiaa, siku akirudisha majeshi nampokea kwa mikono miwili. Woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaa!!!Hivi ni nini kinatokea mpk mnakuwa hivyo?? Mana sio mara moja unajisemesha na comments zangu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu sijui kwann hii inatokea sana mtu akianza kunionyesha kunipenda anaanza hizi hekaheka?!! Halafu muda huo yy mwenyewe anakoment pumba km wewe Mbaga, naonaga comments zako tena zingine mpk unatukana.!! Ila ww hupendi kuona hivyo kwangu.!!! Ujue mnanishangaza?!!
Bas kuanzia sasa ntayafanyia kazi, ………[emoji3578] noted
Yeah! Kenzy katufungulia tuchit chat mpaka basiiHumu hakuna kuharibu mada sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa had machoziiii.Kweli umependa mpare [emoji23][emoji23]
Hayo maneno umeyaongea kwa sauti ya wivu na mapenzi mazito.!! Haya nitayafanyia kazi ila unipe muda, kuna comments zingine nakosa uvumilivu.!!
NB; Mimi sio mpenzi wako. Nafata ushauri tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear BL karibuu tusebenzukee hapa.Nilijua tu na huku mpo nyie watukutu wa JF.
Ndio unajiandaaa kulala sio?Yeah! Kenzy katufungulia tuchit chat mpaka basii
🤣🤣🤣🤣🤣 hilo nalijua pale huruki ndiomana nimetulia tuli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli kwa boss siwezi muacha, ni vile tyuuh yeye ameamua kunikaushiaa, siku akirudisha majeshi nampokea kwa mikono miwili. Woiiiiih
Jf kuna kulala? Vyumba vipo wapiNdio unajiandaaa kulala sio?
Mbaga anataka kuuponza moyo wake 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 jf yote yetuNilijua tu na huku mpo nyie watukutu wa JF.
Asante ila ndiyo najiandaa kulala. Hamselfiki kule nimemiss kuwaona, warembo wangu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear BL karibuu tusebenzukee hapa.
Mbaga kaanza kupenda, tumwambie au tumuache? 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaa!!!