JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Mimi uduguu na mchanga nalamba ndo ntoleee hiyo sigeuki nyuma tenaah.!! Drama za jf nimefunga rasmi [emoji357]

Ila ww na shogire wa chaka to chaka hamuaminiki kabisaa, hamna dhamana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli kwa boss siwezi muacha, ni vile tyuuh yeye ameamua kunikaushiaa, siku akirudisha majeshi nampokea kwa mikono miwili. Woiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli kwa boss siwezi muacha, ni vile tyuuh yeye ameamua kunikaushiaa, siku akirudisha majeshi nampokea kwa mikono miwili. Woiiiiih
Nilijua tu na huku mpo nyie watukutu wa JF.
 
Hivi ni nini kinatokea mpk mnakuwa hivyo?? Mana sio mara moja unajisemesha na comments zangu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu sijui kwann hii inatokea sana mtu akianza kunionyesha kunipenda anaanza hizi hekaheka?!! Halafu muda huo yy mwenyewe anakoment pumba km wewe Mbaga, naonaga comments zako tena zingine mpk unatukana.!! Ila ww hupendi kuona hivyo kwangu.!!! Ujue mnanishangaza?!!

Bas kuanzia sasa ntayafanyia kazi, ………[emoji3578] noted
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaa!!!
 
Kweli umependa mpare [emoji23][emoji23]
Hayo maneno umeyaongea kwa sauti ya wivu na mapenzi mazito.!! Haya nitayafanyia kazi ila unipe muda, kuna comments zingine nakosa uvumilivu.!!

NB; Mimi sio mpenzi wako. Nafata ushauri tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa had machoziiii.
 
Back
Top Bottom