Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Sasa Kuna sheikh Moja lazima aniletee kila siku hiyo mint ya unga anaiweka ukitaka kunywa ni kama inakupokonya pumziUsiombe uwekewe mint ya unga kwenye alkasusu alooo utapiga chafya kama mbuzi aliyekula pilipili ya unga. Lakini ni poa sana ile mishikaki ya tende. πππ
Ubaridi wa nguvu puani πππSasa Kuna sheikh Moja lazima aniletee kila siku hiyo mint ya unga anaiweka ukitaka kunywa ni kama inakupokonya pumzi
Wazee wa chaputa, wazee wa kujichukulia sheria mkononi, wazee wa kukwea mnazi kwa mkono mmoja, wazee wa nganga, wazee wa bakari nondo mwamNYETO.Kikiwa ghorofani je? Huu uzi si wa wachumba bali ni wa wakumbatia mito,waliotelekezwa, long-distance, mayatima wa mapenzi, mtoa mada abadili heading
Eeeeh hiyo hiyo, Kuna siku kaniuzia 2000 ananiambia kaweka mint, RahaTujimaai na nyingine ya tatu nimesahauUbaridi wa nguvu puani πππ
ππ
dem wangu huyo
Iwe...Kikiwa ghorofani je? Huu uzi si wa wachumba bali ni wa wakumbatia mito,waliotelekezwa, long-distance, mayatima wa mapenzi, mtoa mada abadili heading
HahahaKira Nooir ni mcheza picha za porno ana mabalaa ya kufa mtu
Sijui wanapata faida ganiHivi Ile hua ina faida Gani? au Kuna privilege wanazipata
Daah mechi bado ngumu aiseeKuna tumaini humu..? Kuna alieopoa alete shuhuda wengine wapate moyo wa kupambania kombe?
HelloIwe...
π€£π€£π€£π€£Mi inanifurahishaga avatar yake km zimo km hazimo basi na mwandiko wake uko hivyohivyo, hana makuu wala makelele
Tutakuozesha hata kwa lazima. Usitutanieπ€£ππ
Huu mwaka ukiisha sijapata mwali jiandae
Babe usiniambie nawe unatafuta mchumbaππππKikiwa ni fulu fanishid itapendeza zaidi
ππππππBabe usiniambie nawe unatafuta mchumbaππππ
Shindikana unanicheka sioπππππππππ
Mimi mwenyewe nimemwona babe wangu anatafuta mchumba humu, ndio maana nimecheka, kumbe tupo wengi π π π π πShindikana unanicheka sioπππ