Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Rilesheni statasi yako Mlongo ๐๐๐Kiajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rilesheni statasi yako Mlongo ๐๐๐Kiajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eb nione payment gateways unazotumia kwenye biashara yako ya Madafu๐Hilo huwa nadili nalo sana aisee kwenye shughuli zangu ๐๐๐
Kwenye portal za TRA ๐คฃ๐คฃ๐คฃEb nione payment gateways unazotumia kwenye biashara yako ya Madafu๐
OTP ni nini kwanza?Ili hayo yawezekane ruhusu hiyo OTP sasa
Heeeh jamani hata hunibembelezi๐ญ๐ญ๐ญHaya nenda kwa hao watakaokuongezea muda๐คฃ
Heeeeh!! Nadanganywa mimi ๐๐mCHUMBA wa nini bebe, wakati nakumiliki wewe mNYUMBA, tena ni mGHOROFA. 5 STARS kabisa, chombo certified by ISO. ๐๐๐
Kwako nikitaka mCHUMBA vipo vyumba vya kutosha, ventriko juu na chini na auriko juu na chini, nichague mimi pakujimwaga.
Sebuleni, nalala mapajani napata upepo wa maana.
Uwani, najipumzisha kwenye balcony napata sea view.
Jikoni ndio mahala pake, msosi umejitosheleza, chumvi ikipungua, nazama chumvini, table salt NaCl naipata kwa ulimi..
Basi tusiwape watu faida bebe wangu,
I love you, jamiiforum woote wanajua.
Nakala ya kukutongoza ipo kwa Maxence Melo
Ni helaOTP ni nini kwanza?
Mmmh!Ni hela
Nimelipia Kodi๐Mmmh!
Kwanza zile ulisema unaleta nikutunzie ziko wapi?
Hiyo biashara tulishaa ha mda sana, nibembeleze mtu mzima mwenzangu...Heeeh jamani hata hunibembelezi๐ญ๐ญ๐ญ
Siwezi hata kuthubutu kipenzi,Heeeeh!! Nadanganywa mimi ๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wee!!!Rilesheni statasi yako Mlongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapiga misele wapo wengi Mlongo chagua mmoja myajenge ๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wee!!!
Hapanaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapiga misele wapo wengi Mlongo chagua mmoja myajenge [emoji23][emoji23][emoji23]
๐๐๐๐M naitaji mdada tupige kimasiraha moja afu kila mtu asepe kona yake ๐
Shauri zako hii ni firsa ukue ๐๐๐Hapanaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐คฃ๐คฃ๐คฃ Unaona sasa matatizo yako!!Nimelipia Kodi๐
Mzee wa nyumba alikua anadai kibabe sana nkaona yaishe๐คฃ๐คฃ๐คฃ Unaona sasa matatizo yako!!