Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Hata mimi siaminiOffline ni sister wangu huyo😂najua huwezi amini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi siaminiOffline ni sister wangu huyo😂najua huwezi amini
Humu achana na ofulaini 😁😁😁💨Offline ni sister wangu huyo😂najua huwezi amini
Hahahaha 😂 😂 😂 🙌🏾Humu achana na ofulaini 😁😁😁💨
Pale kwa Brother pagumu Mzee mwenzangu nilitamani sana uwe unaniita Baba Mkwe.
Basi tukutafutie mshangazi wenye mihela.Sio miaka hii
Ni dada kweli, namtania huku tu ila kwenye normal text hata nikiweka emoji anajibu "kua na adabu wewe"Hata mimi siamini
Sitaki kusikia mshangazi 😁Basi tukutafutie mshangazi wenye mihela.
😂😂😂 Mshenga umesahau emoji hii 💵💷💳💰
🤣🤣🤣🤣Offline ni sister wangu huyo😂najua huwezi amini
Subiri nikahiji nikirudi naoa ijumaa naoa mtoto wa kakaako jmos napiga miuno jpili kanisani ijumaa jidiHumu achana na ofulaini 😁😁😁💨
Pale kwa Brother pagumu Mzee mwenzangu nilitamani sana uwe unaniita Baba Mkwe.
Online hata kuapproach siogopi sana, ukinifokea nakuripoti kwa mod unakula ban swaafi🤣🤣🤣🤣
Na online je?
Unaona sasa Mpaji Mungu ? Kumbe mchawi ni falangaaa ???😂😂😂 Mshenga umesahau emoji hii 💵💷💳💰
Walikufanya nini?Sitaki kusikia mshangazi 😁
Oi acheni kutuzuga basiiii fanyeni jambo bhana, hela zitawafuata tuHii "mbwinu" nimeipenda🤣🤣🤣
Mi saivi kutunza mwanamke siwezi shindwa 😁sema ndo vle roho na mwili havitaki kumaliza tofautiUnaona sasa Mpaji Mungu ? Kumbe mchawi ni falangaaa ???
Oi Mwanetu Ms R , Mwanao miyeyusho sana anasema Atoto ni sister ake kumbe kinachotakiwa ni rupiaaa zipenye kuondoa udhia 🤣🤣🤣
Hebu changamka, unauchelewesha ukoo😂Online hata kuapproach siogopi sana, ukinifokea nakuripoti kwa mod unakula ban swaafi
Hii sentensi ipewe ulinziMi saivi kutunza mwanamke siwezi shindwa 😁
Sio hivyo mshenga, mimi ni muhasibu wake 😂Unaona sasa Mpaji Mungu ? Kumbe mchawi ni falangaaa ???
Oi Mwanetu Ms R , Mwanao miyeyusho sana anasema Atoto ni sister ake kumbe kinachotakiwa ni rupiaaa zipenye kuondoa udhia 🤣🤣🤣