Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
πHakuna wachumba wote watoto wa kiume hao kuweni makini
Ukiwa na babez humu ambae yupo active sana unaweza saga chupa π€£π€£Mimi mwenyewe nimemwona babe wangu anatafuta mchumba humu, ndio maana nimecheka, kumbe tupo wengi π π π π π
WangaoiWachumbaaa mkujeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na taarifa zake zote zinakua exposedAtakaejipendekeza pm kwako anakula life banπ€£π€£
mCHUMBA wa nini bebe, wakati nakumiliki wewe mNYUMBA, tena ni mGHOROFA. 5 STARS kabisa, chombo certified by ISO. πππBabe usiniambie nawe unatafuta mchumbaππππ
Basi ni kuzidi kupambana tuDaah mechi bado ngumu aisee
Kwahiyo kifo cha wengi harusiπ€£π€£Mimi mwenyewe nimemwona babe wangu anatafuta mchumba humu, ndio maana nimecheka, kumbe tupo wengi π π π π π
Huku nimeahidiwa mema ya nchi, nimeambiwa unanipotezea mudaπKwangu hujawahi kupoteza mda my babezπ€£
Na picha yake tunabandika hadi jukwaa la mapishi.Na taarifa zake zote zinakua exposed
Ndiwoooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Neutral au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona uzi mzima wamejaa wanaume sasa
Ili hayo yawezekane ruhusu hiyo OTP sasaNa picha yake tunabandika hadi jukwaa la mapishi.
Niolewe mara ngapiii? Kuna mtu ameshanioa tayariiii.Mchumba ndio wew sasa watu wajichanganye waje waoe mashoga
Haya nenda kwa hao watakaokuongezea mudaπ€£Huku nimeahidiwa mema ya nchi, nimeambiwa unanipotezea mudaπ
Ili hayo yawezekane ruhusu hiyo OTP sasa
Asa mbona hausomeki Mlongo?πππNdiwoooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asa mbona hausomeki Mlongo?[emoji23][emoji23][emoji23]
πππKwa hiyo sheikh unafuatilia Convo Kimya Kimya ukaona neno OTP ukazama google chapuOTP One Tme Password au sio ?π
Hilo huwa nadili nalo sana aisee kwenye shughuli zangu ππππππKwa hiyo sheikh unafuatilia Convo Kimya Kimya ukaona neno OTP ukazama google chapu