Rilesheni statasi yako Mlongo πππKiajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eb nione payment gateways unazotumia kwenye biashara yako ya MadafuπHilo huwa nadili nalo sana aisee kwenye shughuli zangu πππ
Kwenye portal za TRA π€£π€£π€£Eb nione payment gateways unazotumia kwenye biashara yako ya Madafuπ
OTP ni nini kwanza?Ili hayo yawezekane ruhusu hiyo OTP sasa
Heeeh jamani hata hunibembeleziπππHaya nenda kwa hao watakaokuongezea mudaπ€£
Heeeeh!! Nadanganywa mimi ππmCHUMBA wa nini bebe, wakati nakumiliki wewe mNYUMBA, tena ni mGHOROFA. 5 STARS kabisa, chombo certified by ISO. πππ
Kwako nikitaka mCHUMBA vipo vyumba vya kutosha, ventriko juu na chini na auriko juu na chini, nichague mimi pakujimwaga.
Sebuleni, nalala mapajani napata upepo wa maana.
Uwani, najipumzisha kwenye balcony napata sea view.
Jikoni ndio mahala pake, msosi umejitosheleza, chumvi ikipungua, nazama chumvini, table salt NaCl naipata kwa ulimi..
Basi tusiwape watu faida bebe wangu,
I love you, jamiiforum woote wanajua.
Nakala ya kukutongoza ipo kwa Maxence Melo
Ni helaOTP ni nini kwanza?
Mmmh!Ni hela
Nimelipia KodiπMmmh!
Kwanza zile ulisema unaleta nikutunzie ziko wapi?
Hiyo biashara tulishaa ha mda sana, nibembeleze mtu mzima mwenzangu...Heeeh jamani hata hunibembeleziπππ
Siwezi hata kuthubutu kipenzi,Heeeeh!! Nadanganywa mimi ππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wee!!!Rilesheni statasi yako Mlongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapiga misele wapo wengi Mlongo chagua mmoja myajenge πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wee!!!
Hapanaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapiga misele wapo wengi Mlongo chagua mmoja myajenge [emoji23][emoji23][emoji23]
ππππM naitaji mdada tupige kimasiraha moja afu kila mtu asepe kona yake π
Shauri zako hii ni firsa ukue πππHapanaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π€£π€£π€£ Unaona sasa matatizo yako!!Nimelipia Kodiπ
Mzee wa nyumba alikua anadai kibabe sana nkaona yaisheπ€£π€£π€£ Unaona sasa matatizo yako!!