Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Hahaha! Sawa, ngoja niendelee na majukumu nikirejea nategemea nitakuta namba, nimtwangie shemeji yakoIlo sina uwakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Sawa, ngoja niendelee na majukumu nikirejea nategemea nitakuta namba, nimtwangie shemeji yakoIlo sina uwakika
Ongea nae vizuri jamaa dada yake mzuri sana ana macho ya samaki 😎Njiro nipo maeneo ya themi suites
Ooo pumxika hapoHahaha! Sawa, ngoja niendelee na majukumu nikirejea nategemea nitakuta namba, nimtwangie shemeji yako
Hivi Ile hua ina faida Gani? au Kuna privilege wanazipataHapo pa kulipiwa platinum member ndipo napataka
Wenzangu wanaweka masharti ya mchumba wanaemtaka ila sharti langu kwa mchumba naemtaka ni moja tu uwe wewe😋😂😂😂kuna watu wakisoma ID yangu wanapata kihindihindi ama hakika kila shetani na mbuyu wake
Kwakweli sijaelewaImeisha iy
Ooo pumxika hapo
Kuna mbuu hapa wee pumzika bossKwakweli sijaelewa
Je utawezana? Maana hili ni fupa lililomshinda fisiWenzangu wanaweka masharti ya mchumba wanaemtaka ila sharti langu kwa mchumba naemtaka ni moja tu uwe wewe😋
Mapema hivi? Kazi namuachia nani?Kuna mbuu hapa wee pumzika boss
Mimi chawa wako nitazifanyaMapema hivi? Kazi namuachia nani?
Faida ipo kubwa sana mkuuu ongea na Cookie kwa msaada zaidiHivi Ile hua ina faida Gani? au Kuna privilege wanazipata
Kule Kuna lodge flan wanaitaga ya mama ntilie vyumba vingi kinoma 5k per hour Kuna vitanda vya zege 😂number E zinapigwa miti vbya sanaBasi hayo nayo ni maajabu ya kariakoo
Nidokeze kidogoFaida ipo kubwa sana mkuuu ongea na Cookie kwa msaada zaidi
Kutakuwa kuna UTI na wadudu walioshindikana maana kariakoo tu ni chafu sasa na hivyo vyumba vitakuwaje?Kule Kuna lodge flan wanaitaga ya mama ntilie vyumba vingi kinoma 5k per hour Kuna vitanda vya zege 😂number E zinapigwa miti vbya sana
Kijana mimi mpiga debe,utaweza hii kazi?Mimi chawa wako nitazifanya
Jiunge kwa kulipia 100k ndio utaona privilege zake hivi ushawahi kuona premium member anakula Ban?Hivi Ile hua ina faida Gani? au Kuna privilege wanazipata