Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hapana, tunakwenda nazo.Oi acheni kutuzuga basiiii fanyeni jambo bhana, hela zitawafuata tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, tunakwenda nazo.Oi acheni kutuzuga basiiii fanyeni jambo bhana, hela zitawafuata tu
Vitamaliza tofauti kaburini, chamsingi ubwabwa tuufinye.Mi saivi kutunza mwanamke siwezi shindwa 😁sema ndo vle roho na mwili havitaki kumaliza tofauti
Bas tu, hamna Raha ya kuishi na mwanamke analipa bills yeye, mtu anakuzidi kipato, connection & umri hadi dhambi....Raha ya kuishi na mwanamke ni uweze kummudu sasa kama kanizidi ntamfaidije Kwa uhuruWalikufanya nini?
😂😂😂😂 Sasa jichanganye.Hii sentensi ipewe ulinzi
Labda ndoa bubu tunaishi kibingwaVitamaliza tofauti kaburini, chamsingi ubwabwa tuufinye.
Cc Totoo Poor BrainBas tu, hamna Raha ya kuishi na mwanamke analipa bills yeye, mtu anakuzidi kipato, connection & umri hadi dhambi....Raha ya kuishi na mwanamke ni uweze kummudu sasa kama kanizidi ntamfaidije Kwa uhuru
Siwezi kujichanganya hapo😂😂😂😂 Sasa jichanganye.
Kwani vina ugomvi gani?Labda ndoa bubu tunaishi kibingwa
Kitakulamba urudi ukibubujikwa machozi, ila sio kama yale ya braza luka🤣🤣🤣Siwezi kujichanganya hapo
Unamaanisha mpaji hajui kuhudumia🤔Kitakulamba urudi ukibubujikwa machozi, ila sio kama yale ya braza luka🤣🤣🤣
Hana hata mia🤣🤣Unamaanisha mpaji hajui kuhudumia🤔
Hapa uongo❌Hana hata mia🤣🤣
Mwanamke ukiishi nae gharama ni ndogo ila kama unamdate tu jiandae anakua na gharama kinomaHii sentensi ipewe ulinzi
Yeah kweli! Bora umuoe tu unywe supu ya samaki na ndizi kila siku😋Mwanamke ukiishi nae gharama ni ndogo ila kama unamdate tu jiandae anakua na gharama kinoma
Hii kauli ilindwe na makomandoo wa JWTZ isije ikapoteaMwanamke ukiishi nae gharama ni ndogo ila kama unamdate tu jiandae anakua na gharama kinoma
Hela zote zipo kwake matumizi anapanga yeye sasa sijui nihudumiejeUnamaanisha mpaji hajui kuhudumia🤔
Upo tayar kesho alfajiri tukafunge ndoa?Natafuta mchumba