Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule yule 😂 Manyanzaniwewe tu kutafta mshenga mwenye akili timamu
Mshapata Hao wachumba mm ndo nakuja muda huu Balo lishaisha mnipe kadi Sasa😃😃Najiuliza watu wapo wapi..
Wadau wangu wapo wapi.
Kumbe wapo kutafutana humu na wachumba zao 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aisee kumbe napendwa hukuNUMBER THREE: Aaliyyah
Huyu ni decent woman but she seems to be very selective. Naamini ipo siku atakuja kujutia hii tabia yake.
Honestly from my heart nampenda sana Aaliyyah but it sounds like tayari married or taken with someone and she don't know what to do right now - the way forward.
Anyway, nilichompendea ni MWANDIKO WAKE. Aaliyyah yupo vizuri kichwani, kapata malezi mazuri kwa familia yake hasa upendo wa baba yake.
I wish angekuwa wangu ili tuweze kujenga maisha pamoja na sisi tuweze kuwa role model kwenye jamii kama ambavyo baba yake au familia yao ilivyokuwa role model mtaani kwao.
Aaliyyah know that nakupenda and I will not stop loving you 😘
Hajui mambo ya huku uyo atakuharbia aseeeee🙆🏾🙆🏾Yule yule 😂 Manyanza
Ms R alinishtua, huyo BISLETT STADION katutaja wadada anaotupenda, ikasemekana me ni bi mkubwa again..!!😂😂🙌Usiniambie ndugu😃😃😃mume yukowapi tuwah
Una bhat sana wanaona mm mayai mayai nikae mwisho alitokea mwingine natak kuanza😃😃Ms R alinishtua, huyo BISLETT STADION katutaja wadada anaotupenda, ikasemekana me ni bi mkubwa again..!!😂😂🙌
afu uyo nae mbona nilimstua kazubaa wapi 😂 😂 au anaona wivu hajatajwa mwanzo,bi mdogo kaanza gubu mapema ivMs R alinishtua, huyo BISLETT STADION katutaja wadada anaotupenda, ikasemekana me ni bi mkubwa again..!!😂😂🙌
Mdogo wake hamisi shida nini? Mbona makasirikoMuko Kama Fisi.
Kutwa kuvizia vya kuokoteza.
We toa mkeka mengine yatajulikana mbele ya safari! Kwanza unasalimiaje kikwenuHajui mambo ya huku uyo atakuharbia aseeeee🙆🏾🙆🏾
We mbona nafasi yako uhakikaMshapata Hao wachumba mm ndo nakuja muda huu Balo lishaisha mnipe kadi Sasa😃😃
Kamwene 😂😂😂😂ila mpuuz weyeWe toa mkeka mengine yatajulikana mbele ya safari! Kwanza unasalimiaje kikwenu
Mtu yeyote mdogo, mkubwa, wa kike wa kiume mamkwe sijui mjomba nikimuona tu namwambia kamweneKamwene 😂😂😂😂ila mpuuz weye
Ikowapi Balo limeisha 😃We mbona nafasi yako uhakika
Nainjoi bruh.Mdogo wake hamisi shida nini? Mbona makasiriko
We bwan usinichoshe,, muulze mshenga wako😂😂Mtu yeyote mdogo, mkubwa, wa kike wa kiume mamkwe sijui mjomba nikimuona tu namwambia kamwene
Mi npo najifunza dini ili wajomba zako wakose sababu ya kunikaziaIkowapi Balo limeisha 😃