cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
mr handsome nakupenda afu nakupendaa tenaa,
[emoji178][emoji178][emoji178]
[emoji178][emoji178][emoji178]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani nimesema wa kwangu uko kwako jamani? Si ndio maana ujumbe wako sijaujibu?Mimi moyo wangu upo kwa Bantu Lady tu kama hujui
Niruhusu nikupm mkuuHujaacha tu, halafu wewe nitakujua tu ni nani kwa ID nyingine 😅
Kabisakabisa🤣🤣🤣😂😂😂
Huku kila mtu kavurugwa
Ushapiga tayari🤭Kaone 😁😁😁
Nishapiga nini?Ushapiga tayari🤭
Kimafuta ya NaziNishapiga nini?
Na uzee huu😁😁😁 ,now nikipata mchuchu humu ,natangaza ndoa humu humu mchangie😁😁😁😁Kimafuta ya Nazi
atakujibu #upo wapi ? 😅😅😅😅😅Evelyn Salt , huyu kupitia maandishi yake ni bonge la mshangazi! Nakubali majibu yake makavu! Huyu labda atake mwenyewe coz huna cha kumdanganya!
Tatizo kushindia ndizi mkuu,afu hujawahi kuwa serious nao watakuwa wanachekacheka ivoivo wakikua utani🥴Na uzee huu😁😁😁 ,now nikipata mchuchu humu ,natangaza ndoa humu huu mchangie😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
Nambie babe wangu,,umeniita nitafute mchumba wakati upo tayar kpnzEtugrul Bey fanya Mambo bas laaziz😘😘
😅😅😅😅😅😅Sasa kwani nimesema wa kwangu uko kwako jamani? Si ndio maana ujumbe wako sijaujibu?
Umeolewa?🤣🤣🤣🤣
Umeshawahi kumsikia Etugrul BeyUmeolewa?
Njoo unisaidie kitu
No hawezi shindia ndizi ,ndio nakua na utani ila katikati yake huwa nasema ukweli sana tu😊Tatizo kushindia ndizi mkuu,afu hujawahi kuwa serious nao watakiwa wanachekacheka ivoivo wakikua utani🥴