min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hahaha pm mmefunga na sio rahisi nimfuate mtu nimwambie eti afungue😁😁 unapenda I'd tu mwisho wa siku unapotezea kinaisha kihivyo😆😆😆Utapataje huyo mtoto Kama hata pm humfuati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha pm mmefunga na sio rahisi nimfuate mtu nimwambie eti afungue😁😁 unapenda I'd tu mwisho wa siku unapotezea kinaisha kihivyo😆😆😆Utapataje huyo mtoto Kama hata pm humfuati?
Wapee kwa keyboard inawatosha majitu gani hayajui kula yakanyamazaTatizo tukiwapa wanaenda kutuchamba kwenye nyuzi
😳Okee okee🤒Hahaha pm mmefunga na sio rahisi nimfuate mtu nimwambie eti afungue😁😁 unapenda I'd tu mwisho wa siku unapotezea kinaisha kihivyo😆😆😆
Kabisa kabisaWapee kwa keyboard inawatosha majitu gani hayajui kula yakanyamaza
Kumbe kuna wanaokula kabisa 😁 wengine tunapenda nakunyamaza tu😆😆😆😆Wapee kwa keyboard inawatosha majitu gani hayajui kula yakanyamaza
Akikupa utaacha?Ninaempenda ni ephen_ kama rafiki yangu tu wala sihitaji kua na uchumba nae🤗
😂 Acha uoga wewe mtagTatizo nikimtag ma-ex zake watakuja
Umekuja sasaa🤣🤣🤣🤭Akikupa utaacha?
Sijui mkuu😆Akikupa utaacha?
😳😳😳😳...🤔Sijui mkuu😆
Mwandiko wako umebeba busaraHahaha upole tena
hujui sio jibu sahihi funguka usiogope.Sijui mkuu😆
Nashukuru kama ni kwel😁😁😁Mwandiko wako umebeba busara
Amina🙏Nashukuru kama ni kwel😁😁😁
Achana nae,si anataka mpaka wamchomekee🙄hujui sio jibu sahihi funguka usiogope.
Siwezi kuwa na jibu linaloeleweka mkuu😁😁hujui sio jibu sahihi funguka usiogope.