Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio nimefika vipi kuna mtu kanitaja? 😅Umekuja sasaa🤣🤣🤣🤭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nimefika vipi kuna mtu kanitaja? 😅Umekuja sasaa🤣🤣🤣🤭
Jiamini uwezi jua, kimasikhara hivi hivi anakuweka kwenye mpango mkakati wa maisha yake.Siwezi kuwa na jibu linaloeleweka mkuu😁😁
🤣 Hayupo bro🤭 ....shida yako waonekana ni don care....🤨Ndio nimefika vipi kuna mtu kanitaja? 😅
Najiamini sana tu mkuu 😆😆Jiamini uwezi jua, kimasikhara hivi hivi anakuweka kwenye mpango mkakati wa maisha yake.
Kula chuma hicho😂Najiamini sana tu mkuu 😆😆
Achana na huyu mama raraa reree min -me sijui ni ID moja wanamkubali ephen_ so wewe ni second chanceKimafuta ya Nazi
Weweee mbona nakupenda wewe😆Achana na huyu mama raraa reree min -me sijui ni ID moja wanamkubali ephen_ so wewe ni second chance
Sitaki mazoea wewe unampenda ephen_Weweee mbona nakupenda wewe😆
Ooh mpenz....mie sipo kabisa kwenye hizi za kuchaguana...mi ni mpenzmtazamaji😜Achana na huyu mama raraa reree min -me sijui ni ID moja wanamkubali ephen_ so wewe ni second chance
Basi utapewa mtoto mzuri,Kumbe kuna wanaokula kabisa 😁 wengine tunapenda nakunyamaza tu😆😆😆😆
Una mwanasheria?🤔Achana na huyu mama raraa reree min -me sijui ni ID moja wanamkubali ephen_ so wewe ni second chance
"Nakazia"😂 Acha uoga wewe mtag
mim nitanyamazaWapee kwa keyboard inawatosha majitu gani hayajui kula yakanyamaza
Sikupingi Sweety akeeeephen_ huu sio muda wakumpenda yeyote zaidi ya jasusi wetu Lucas Mwashambwa basi tupewe mwakani tshirts za ccm na posho z uchaguzi
Wapi hao??No bhana huyo ni mdogo wangu rafiki tu😊 ,kumbe mazoea nae humu yananikosesha wachumba😁😁😁😁
Watu mko na akili kubwa nyie na hata hamsemi🤣....sasa mi nafikiri ungeanza wewe kama mfano wengine tuko nyuma yako kama kivuli.Leo mtag unayetamani awe mchumba wako hapa alafu mwambie maneno mazuri.
Akikijibu vizuri endelea nae huwezi jua ya Mungu mengi. Tag wengu kadiri uwezavyo
Twende kazi
😂 mambo yenye usumbufu usumbufu na mimi ni kama mafuta na maji, licha ya hivyo najali sana.🤣 Hayupo bro🤭 ....shida yako waonekana ni don care....🤨