Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EH unamaanishaHongera zake ila rangi yake nakoma mimi 😐
Mbona kama swali, maswali sitaki 😂Wewe ulimpataga huyu depal??
Tulia wewe ,wazee huwa hatuna papara kama nyie vijana na mitongozo yenu ya zima moto😆😆Utapataje bila kuomba!
Nenda YouTube upate tutorials
Nimetoa ipi hiyo dear na unamaanisha nini friji haligandi au kukupenda kama rafiki hutaki🤔Tatizo unatoa siri za watu😂
Nasubiri kuona utakapoangukiaTulia wewe ,wazee huwa hatuna papara kama nyie vijana na mitongozo yenu ya zima moto😆😆
Tuishie hapo kama hujang'amua kitu.EH unamaanisha
NDio huko kataviiMbona kama swali, maswali sitaki 😂
Alipotea kwani?
Yaishe hayo! Kwani wewe mchumba ako naniNimetoa ipi hiyo dear na unamaanisha nini friji haligandi au kukupenda kama rafiki hutaki🤔
Haya sawa unaoa lini naomba kadiTuishie hapo kama hujang'amua kitu.
SweetyCandy unaonaje ,ephen?Nasubiri kuona utakapoangukia
YesuYaishe hayo! Kwani wewe mchumba ako nani
Nimebariki ujiweke kwa SweetyCandySweetyCandy unaonaje ,ephen?
🤣🤣🤣🤣 Chukua pisikali hiyo mzeee ufurahj...ila ana maringo huyo kama twiga
Wewe usinichoshe second choice yupoSweetyCandy unaonaje ,ephen?
Unapendwa shauri yKoNimebariki ujiweke kwa SweetyCandy
Mchezo wa kuulizana maswali sitaki, nehii nehiiiNDio huko katavii
Asante kwa kunipendaUnapendwa shauri yKo
Kuoa bado sana, nitachelewa sana kuoa hili silifichi.Haya sawa unaoa lini naomba kadi
Kwahiyo katika huu uzi umeona wanawake wangapi mkuu? Na unawajuaje? Embu toa shule kidogo.Kila lenye kheri, ila kuweni makini msije chumbiana waume kwa waume. JF wanawake hawazidi 21 🙄