JF Exclusive: Mauritius Leaks name Tanzania companies in tax avoidance

JF Exclusive: Mauritius Leaks name Tanzania companies in tax avoidance

Wayataje yote haraka haraka ili nchi ikachukue kodi yake. Wanapiga makelele kumbe wanatuibia.

Nilishangaa kusikia ati Kampuni ta Matangazo ya TV Azam imesajiliwa Mauritius kumbe huko kuna mchongo!

Nikashangaa kuona maji ya Kilimanjaro yale ya IPP ati ni ya Coca Cola International, kumbe ni mchongo wa kuepa kodi!
 
Ni makampuni mengi sana na yameshamiri wakati huu wa awamu ya tano kwa sababu ya Serikali kutojua mambo haya

Kiongozi mbona WikiLeaks walipotoa taarifa kama hii na kuonyesha makampuni ya akina Rostam na Manji na mengine mengi yakiwa kwenye orodha ilikuwa wakati wa awamu ya nne? Hivyo awamu ya nne nayo haikuwa na inajua kuhusu mambo haya?
 
#TBT

Zitto: Broaden tax base to ease burden on workers
Tuesday May 2 2017
The ACT Wazalendo leader Zitto Kabwe yesterday called on the government to broaden the tax base to ease the burden on workers. He said in a press statement that a lower tax base means salaried workers are heavily taxed.

Umeandika vitu vikubwa sana ambavyo sidhani kama watu wanakuelewa maana watanzania tunaishi kishabiki shabiki sana..

Ulichoandika ndio muarobaini hasa wa kuongeza makusanyo na kustimulate uchumi wa mtu mmoja mmoja. Tax base ikiwa kubwa maana yake umeshirikisha watu wengi kwenye uchumi na umefanya watu wengi kuwa productive..

Tunaweza kuwa na population kubwa ikawa unproductive huku nchi yenye population ndogo ikafanya watu wake productive ikakuzidi mbali kwenye uchumi.. The only way ya kuongeza tax base ni kuitumia vizuri population ya 50milioni people ikawa productive kiasi cha kujifeed yenyewe kwanza na surplus inakwenda nje, hapa tunaweza kujifunza kwa mchina.

Mungu akubariki uendelee kuelimisha jamii ipo siku watu wataelewa na hata wasipoelewa utakuwa umetimiza wajibu wako duniani..
 
Shukrani kwa kuleta Uzi huu. Hata hivyo am sceptic to its authenticity, how does the whole issue rest on one company and a single tax consultant?

The way ilivyokuwa structured inawachafua KPMG bila sababu.
 
Kweli umesema, hivi Citizen na Mwananchi wanafanya nini kuhusu Azory? Kama wamelala namna hii. Wameacha kumsaka na kazi hiyo inafanywa na kukomaliwa na wazungu. "Tanzania nakulilia"
Hivi hawawezi kufanya uchunguzi hata kwa ndugu yao? Je kwetu sisi si itakuwa sio habari. Haya mambo yanatisha sana,Kongole kwa JF team
 
Umeandika vitu vikubwa sana ambavyo sidhani kama watu wanakuelewa maana watanzania tunaishi kishabiki shabiki sana..

Ulichoandika ndio muarobaini hasa wa kuongeza makusanyo na kustimulate uchumi wa mtu mmoja mmoja. Tax base ikiwa kubwa maana yake umeshirikisha watu wengi kwenye uchumi na umefanya watu wengi kuwa productive..

Tunaweza kuwa na population kubwa ikawa unproductive huku nchi yenye population ndogo ikafanya watu wake productive ikakuzidi mbali kwenye uchumi.. The only way ya kuongeza tax base ni kuitumia vizuri population ya 50milioni people ikawa productive kiasi cha kujifeed yenyewe kwanza na surplus inakwenda nje, hapa tunaweza kujifunza kwa mchina.

Mungu akubariki uendelee kuelimisha jamii ipo siku watu wataelewa na hata wasipoelewa utakuwa umetimiza wajibu wako duniani..
Hapo kwenye kukuza uchumi wa mtu mmojammoja kuna jamaa hapendi balaa, anatamani wote tungekuwa na mashati mawili, suruali moja na yunifomu ya kuendea kazini tu ili tuuone utukufu. Mine is an ordinary mind
 
Shukrani kwa kuleta Uzi huu. Hata hivyo am sceptic to its authenticity, how does the whole issue rest on one company and a single tax consultant?
The way ilivyokuwa structured inawachafua KPMG bila sababu.
Mkuu inawezekana unatokea huko lakini kiuhalisia ni kwamba hawa wanaoitwa the Big Four ni abetters wakubwa kwenye mambo ya ukwepaji na uepaji wa kodi hasa kwenye hizi nchi zetu.

Wakiendelea kutoa taarifa hizi lazima PwC, Delloite and Touche na E&Y lazima wata surface.

Makampuni ya kuhasibu si ya kimataifa peke yake hata haya madogo ya ndani yana mchango mkubwa sana kwenye kufifisha ukusanyaji wa kodi katika nchi hasa za dunia ya tatu.

Wakati Mh Rais alipokutana na wafanyabiashara aliligusia hili suala na baadaye nikasikia NBAA wamechukua hatua dhidi ya kampuni kadhaa za utengenezaji na ukaguzi wa hesabu.
 
Ni makampuni mengi sana na yameshamiri wakati huu wa awamu ya tano kwa sababu ya Serikali kutojua mambo haya
I prefer to call it ignorance but truth be told that whatever these groups and their entities are doing in Mauritius,its under the laws of Mauritius as a tax haven.Hence, our government on its tax greed schemes can't do anything maybe to empose embargo on bussiness on their tz sister companies, and this should be a blue print to the government that bussinessmen ain't fools.I think i should tour Belize,Panama to learn these tactics and advice our government that, maybe high tax ain't the solution.
Advice to Jf's Invisible: do more research and release the breaking news when its sufficient ,to call it breaking and with enough content.
 
In 2015 KPMG provided advice on the “economical means of Ubongo Mauritius extracting profits from Ubongo Tanzania,” according to a Ubongo planning document. One KPMG suggestion was that the Mauritius subsidiary lend money to the Tanzanian one, so that the money used to repay the loan would be taxed at 3% in Mauritius rather than 30% in Tanzania.


Kuna la kujifunza kama nchi.

Corporate tax kwa tz ni 30%
Corporate tax kwa Murts ni 3%

Takwimu zinaonyesha uchumi wa Mauritius unakuwa vizuri zaidi ya tz licha ya kodi kuwa ni ya chini.

JPM analalama kuwa licha ya watz ni mil 55 lkn walipa kodi ni wachache sana.
Unapokuwa na kodi ndogo idadi ya watakaomudu kulipa kodi huongezeka. Kwa tax ya 3% ya kodi tz itahitaji idadi ya either kila bidhaa inayozajishwa au huduma 30mil tu zikatwe kodi ya tsz 3/- tu ili tz iweze kukusanya makadirio yake ya 33.1t
 
"Among those names were business mogul, Rostam Aziz"

Bado kuna anayeamini tunapambana na ufisadi!? Au tunakunywa nao chai na kupishana kwenye podium.
Rostam kichaka cha ufosadi wa ccm.Shares za vodacom kumbe za ccm ila Rostam alipachikwa tuu.Channel Ten etc vya ccm Rostam kichaka tuu.Nilikua najiuliza Igunga kuna biashara gani hivyo mpaka Rostam atoboe???bado wanyama wa porini mlijionea ma silaha pemba alizokutwa nazo mdogo wake hivyo RA ni chaka la ufisadi ccm.Bado Richmond etc.Hii Taifa Gas Mihan Gas ya juzi nasikia kisha uza mauritius
 
#TBT

Zitto: Broaden tax base to ease burden on workers
Tuesday May 2 2017
The ACT Wazalendo leader Zitto Kabwe yesterday called on the government to broaden the tax base to ease the burden on workers. He said in a press statement that a lower tax base means salaried workers are heavily taxed.
Mkuu ungeanzisha uzi wako kuhusu hii kitu muhimu maana naona ni muhimu lakini umeweka as an insert kwenye huu uzi.

Tujadili kodi na mazingira ya uchumi kwa upana zaidi
 
Mh Zitto heshima yako.

Nakukumbusha tu ulituahidi kutuletea orodha ya Watz walificha pesa uswisi.

Nadhani sasa ni wakati muafaka wa kutuletea orodha hiyo. Else unatupa mashaka kuwa huenda uliwekwa mfukoni.

Bado tuna hamu kuipata orodha ile Au tuchukulie tu ilikuwa ni tamthilia ya isodingo. Sawa na tamthilia za mtoto mpendwa wa baba?
 
Ni makampuni mengi sana na yameshamiri wakati huu wa awamu ya tano kwa sababu ya Serikali kutojua mambo haya
Ulikuwa unasubiri nini kuyataja hayo makampuni?

Seems you have been hiding tangible infos kwa manufaa ya umma huku ukiiacha serikali ikipoteza mapato kwa sababu haikuhusu...

Kumbuka unalipwa mshahara kutokana na kodi zetu
unalipwa posho kwa kodi zetu
mafuta ya gari ni kodi zetu (unalipwa)
unalipiwa nyumba na serikali etc.

Be loyal just once in your lifetime
 
Mh Zitto heshima yako.

Nakukumbusha tu ulituahidi kutuletea orodha ya Watz walificha pesa uswisi.

Nadhani sasa ni wakati muafaka wa kutuletea orodha hiyo. Else unatupa mashaka kuwa huenda uliwekwa mfukoni.

Bado tuna hamu kuipata orodha ile Au tuchukulie tu ilikuwa ni tamthilia ya isodingo. Sawa na tamthilia za mtoto mpendwa wa baba?
amesha compromise na he has price tag
 
Rostam kichaka cha ufosadi wa ccm.Shares za vodacom kumbe za ccm ila Rostam alipachikwa tuu.Channel Ten etc vya ccm Rostam kichaka tuu.Nilikua najiuliza Igunga kuna biashara gani hivyo mpaka Rostam atoboe???bado wanyama wa porini mlijionea ma silaha pemba alizokutwa nazo mdogo wake hivyo RA ni chaka la ufisadi ccm.Bado Richmond etc.Hii Taifa Gas Mihan Gas ya juzi nasikia kisha uza mauritius
Kwa Magu hakuna jiwe lisilogeuzwa.

Huu uzi naomba uwe pinned Invisible
 
In 2015 KPMG provided advice on the “economical means of Ubongo Mauritius extracting profits from Ubongo Tanzania,” according to a Ubongo planning document. One KPMG suggestion was that the Mauritius subsidiary lend money to the Tanzanian one, so that the money used to repay the loan would be taxed at 3% in Mauritius rather than 30% in Tanzania.


Kuna la kujifunza kama nchi.

Corporate tax kwa tz ni 30%
Corporate tax kwa Murts ni 3%

Takwimu zinaonyesha uchumi wa Mauritius unakuwa vizuri zaidi ya tz licha ya kodi kuwa ni ya chini.

JPM analalama kuwa licha ya watz ni mil 55 lkn walipa kodi ni wachache sana.
Unapokuwa na kodi ndogo idadi ya watakaomudu kulipa kodi huongezeka. Kwa tax ya 3% ya kodi tz itahitaji idadi ya either kila bidhaa inayozajishwa au huduma 30mil tu zikatwe kodi ya tsz 3/- tu ili tz iweze kukusanya makadirio yake ya 33.1t
Tatizo la TRA ni kwamba wanaamini kukadiria kodi kwa kiwango kikubwa ni kuongeza mapato ya serikali.
Kwa hakika natamani wataalam wa mipango na uchumi wapige kambi kwenye hii thread wasome neno kwa neno ili kupata ideas how to set our economy wings afloat
 
Content nitasoma baadae,
Nimefurahi tu kuona Mkuu Robot uko, maana long time umeadimika Sana Brother.
 
Back
Top Bottom