Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha utakuja na Mambo za ACACIAGive the credits where its due, naomba kukiri hii sio kazi yangu, ila one day na mimi nita...
P
Mkuu haya makampuni uliyoyataja hayakwepi na kuvunja bali yanatumia loopholes za sheria zetu. Hilo sio dhambi na ni global strategy intact Pan African companies zimesajiliwa Mauritius.Mkuu inawezekana unatokea huko lakini kiuhalisia ni kwamba hawa wanaoitwa the Big Four ni abetters wakubwa kwenye mambo ya ukwepaji na uepaji wa kodi hasa kwenye hizi nchi zetu. Wakiendelea kutoa taarifa hizi lazima PwC, Delloite and Touche na E&Y lazima wata surface. Makampuni ya kuhasibu si ya kimataifa peke yake hata haya madogo ya ndani yana mchango mkubwa sana kwenye kufifisha ukusanyaji wa kodi katika nchi hasa za dunia ya tatu. Wakati Mh Rais alipokutana na wafanyabiashara aliligusia hili suala na baadaye nikasikia NBAA wamechukua hatua dhidi ya kampuni kadhaa za utengenezaji na ukaguzi wa hesabu.
Ni kweli saa hii mimi nimelala, tofauti ya masaa uliko na nilikomimi almost 8hrs, na ni kweli mimi mjinga but still naendelea kujifunza lakini nakuhurumia wewe uliye mpumbavu kama wapumbavu wengine ambao Magufuli huwataja hadharaniAcha wivu na ushamba. Mwanaume anatafuta, anahangaika, wewe unataka pesa ikujie kitandani umelala? Tafuta za kwako. Mijitu mingine mijinga sana.
Mmesoma vizuri na mmeelewa mlichokisoma?
Hilo ni tangazo la biashara kwa sababu, "tax avoidance" siyo kosa isipokuwa "tax evasion" ndiyo kosa.
Hapo Mauritius wanajipigia debe.
Mitanzania bwana imeshaanza kujaza watu ujinga kama vile hapo kuna kosa.
Azam Pay TV hachomoki kwenye hii maana na yeye yupo huko hukoKwani Azam Pay TV iko wapi?
The article never talks about evasion. Read it carefully. You'll find it's simply a marketing article.There is an issue of Transfer pricing my dear, Tax avoidance through tax havens is not a sin but tax evasion.
Why these leaks, kwanini taarifa zisiwe za wazi bado hujiulizi? Wana avoid tax kwetu ili wakalipe huko kidogo. Nakuheshimu sana, sana kuliko unavyofikiria. Tumia lugha nzuri piaMmesoma vizuri na mmeelewa mlichokisoma?
Hilo ni tangazo la biashara kwa sababu, "tax avoidance" siyo kosa isipokuwa "tax evasion" ndiyo kosa.
Hapo Mauritius wanajipigia debe.
Mitanzania bwana imeshaanza kujaza watu ujinga kama vile hapo kuna kosa.
Kosa ni lipi? Mnaelewa mnachokisoma? Toka lini "tax avoidance" (kuepuka kodi) ikawa kosa?Azam Pay TV hachomoki kwenye hii maana na yeye yupo huko huko
The article never talks about evasion. Read it carefully. You'll find it's simply a marketing article.
Rostam ni nambari nyengine. Ni mfanya biashara pekee aliyeombwa na Rais mbele ya halaiki kuwa alete wawekezaji kama yeye. Rejea uflzinduzi wa Taifa Gas.
Siku ukijuwa kuwa mali zake ni mali za CCM pia usishangae.
Tax avoidance siyo kosa kisheria lakini ni kupungukiwa uzalendo!Mmesoma vizuri na mmeelewa mlichokisoma?
Hilo ni tangazo la biashara kwa sababu, "tax avoidance" siyo kosa isipokuwa "tax evasion" ndiyo kosa.
Hapo Mauritius wanajipigia debe.
Mitanzania bwana imeshaanza kujaza watu ujinga kama vile hapo kuna kosa.