JF Exclusive: Mauritius Leaks name Tanzania companies in tax avoidance

Content nitasoma baadae,
Nimefurahi tu kuona Mkuu Robot uko, maana long time umeadimika Sana Brother.
Nipo mkuu. Majukumu yalizidi, nimerejea. Kuna mengine mapya yataibuka soon tunavyoelekea Uchaguzi. Njia za kutafuta fedha za uchaguzi baada ya 'Wakuu' kuzikataa hela za mabeberu "UNDP" naona kama zimebadilika; wamesababisha watu turudi kazini.
 
Nilitoa mbona majina 99 na ipo hapa JF. Hamkuwa kwenye mood ya kunisikiliza. Google utaiona hapa hapa JF. Mlisema wahindi watupu 😁😁😁 mlikuwa na majina yenu mlitaka kuyaona

Soma:


 
Nipo mkuu. Majukumu yalizidi, nimerejea. Kuna mengine mapya yataibuka soon tunavyoelekea Uchaguzi. Njia za kutafuta fedha za uchaguzi baada ya 'Wakuu' kuzikataa hela za mabeberu "UNDP" naona kama zimebadilika; wamesababisha watu turudi kazini.
Poa kaka,
Karibu tena,
Tunategemea mengi kutoka kwako
 

Siyajui 😁😁😁. Wabongo bana. Kuna wabunge 300 plus na pia una Mbunge wako. Mwulize huyo bana
 
Sasa broo si tunajua hii ya taifa ambayo wakubwa wanataka masomo yooote kabisa pamoja na kemia itumike kufundishia.Ila watoto wao wkasome kule ambako hata kiswahili kinafundishwa kwa hiyo lugha yako.

Nakuomba tafadhali,kwa vile ni ndefu nitampigia Ngosha (Pascal Mayalla) mshiriane mtuletee kwa Lugha rahisi.Si unaona mchango mdogo,tatizo kubwa Lugha.

Ila sisi hatukupenda,Ndivyo tulivyowezeshwa.Chonde chonde.
 
HAHAHAAAAAAA NA HIZO COMMENTS ZINAZOENDELEAA UTAHAMIA MMU SOON MAANA WAMEAMUA KUJIMWAGA KULEKULEE AKUEEMEEEE AKUEEENEE UR THE LVN GADO....
 
"Among those names were business mogul, Rostam Aziz"

Bado kuna anayeamini tunapambana na ufisadi!? Au tunakunywa nao chai na kupishana kwenye podium.
Mmesoma vizuri na mmeelewa mlichokisoma?

Hilo ni tangazo la biashara kwa sababu, "tax avoidance" siyo kosa isipokuwa "tax evasion" ndiyo kosa.

Hapo Mauritius wanajipigia debe.


Mitanzania bwana imeshaanza kujaza watu ujinga kama vile hapo kuna kosa.
 
I had Mr. President talking about Tax avaoidance through transfer pricing sometimes back, I have a feeling this is being worked on. Though this name mentioning especially business Mogul Rostam Aziz is taking the issue to another level.

I didnt like this name mentioned so soon, as we are now discussing Mr. Rostam instead of the Tax avaodance issue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…