Usikosoe bila kutoa njia sana sana utaonekana una lako. We sema hapo hapafai twende Sea Cliff au Double Tree.Sehem zote ulizotaja bado za kishamba,
Endelea tu na party yako mama,
Asante kwa mwaliko.
Yaani kama kila mtu anakunywa vinywaji vya elfu 20 si unajua pombe ghali.. Dear na sisi tunabanana tunywe zetu soda za elfu 20.Safi sana sijui watatufikiriaje waandaaji hawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shem nacheka mm ujue jf hii usiichukulie serious watu hata kujuana hatujuani tutaongea zaidi kule nyumbani kwetuAisee! Ukistaajabu ya Mussa utayana ya Shunie
Ila hiyo siku naamini utakuwepo
Hilo milkshake haina kilevi kweli?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Milkshake[emoji484]... Azamu utavimbiwa
Woyoooo, nishadouble click... Mmi makitu yangu haya yanafit kwel.Wewe unajua T-shirt ya hivyo siwezi kuvaa. Hahah nitajitahidi.
10 cm sitavaaa
Hilo jibu hilooo...watuwekee na mishikaki yetu pembeni tena kama inawezekanaa...na chips kabisaa!!LA sivyo watatupunja hawaa..waleviii..hahahaaaYaani kama kila mtu anakunywa vinywaji vya elfu 20 si unajua pombe ghali.. Dear na sisi tunabanana tunywe zetu soda za elfu 20.
Usisahau kuja na pochi ya kuhifadhi nyingine
Maoni kama haya ya kujazia penye upungufu ndo nayahitaji.
Mkuu Don Clericuzio kwa maelezo ya jinsi ya kuchangia pesa za ziada njoo Pm kwangu au kwa Mzigua90 au piga namba hiyo hapo juu
Kigamboni raha kwenda. Wakati wa kurudi sasa ndo Majuto yanapoanziaNashukuru mmechagua karibu, maana lile wazo lako la Kigamboni lilikuwa linanifikirisha balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15] usianze hapaa...!!usijali dear tutadiskas kila kitu!!!
Karibu karibu sanaWoooii. ..I won't dare to miss that part .
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbwa unaweza ukaenda nae tu hamna shida[emoji2] [emoji2]
Sawa mkuuSi umeona picha hizo? Hao ndio wahudhuriaji
Kigamboni raha kwenda. Wakati wa kurudi sasa ndo Majuto yanapoanzia
[emoji23] [emoji23]Yaani kama kila mtu anakunywa vinywaji vya elfu 20 si unajua pombe ghali.. Dear na sisi tunabanana tunywe zetu soda za elfu 20.
Usisahau kuja na pochi ya kuhifadhi nyingine
Njooon kwanguUsikosoe bila kutoa njia sana sana utaonekana una lako. We sema hapo hapafai twende Sea Cliff au Double Tree.
Unadhani nachukulia serious basi alafu sio wewe kuna mwingine nawaona wamegandana kumbe mmoja wao namjua namchora tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shem nacheka mm ujue jf hii usiichukulie serious watu hata kujuana hatujuani tutaongea zaidi kule nyumbani kwetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbwa unaweza ukaenda nae tu hamna shida[emoji2] [emoji2]