Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Chuga fureesh tu... Uje basi ubariz mandhari mazuri utuone mabilionea wa Arusha teh
Hahaaa, nawaaminia mabilionea wa Chuga. Poa basi mnitumie nauli nitatokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuga fureesh tu... Uje basi ubariz mandhari mazuri utuone mabilionea wa Arusha teh
We dogo chunga sana domo lake, kabla sijakutandika vitasa..Then inaonesha mtoa mada anaupeo mdogo sn angefikiria kidogo asingeandika hii takataka hapa, yy anadhani jf member wote wanaishi dar
Lipa twende aiseeBado best....
Pumbavu ww mnataka kuibia watu halafu tuwaache tu, pelekeni huu ujinga wenu FacebookWe dogo chunga sana domo lake, kabla sijakutandika vitasa..
Kwani umelazimishwa kuchangia? Kwanini nyie people ya mkoani mmezuiliwa kuandaa part yanu?
We umelazimishwa kuchangia? Mi middle class bhanaPumbavu ww mnataka kuibia watu halafu tuwaache tu, pelekeni huu ujinga wenu Facebook
Kwa taarifa yako tu Maxence Melo na uongozi mzima wa Jf unajua kama tunaandaa party.Then inaonesha mtoa mada anaupeo mdogo sn angefikiria kidogo asingeandika hii takataka hapa, yy anadhani jf member wote wanaishi dar
Sioni hata wa kunilipia ndo tatizo linapoanzia lolLipa twende aisee
Usiworry tutakukatia ticket ya dream liner keshoHahaaa, nawaaminia mabilionea wa Chuga. Poa basi mnitumie nauli nitatokea.
Sioni hata wa kunilipia ndo tatizo linapoanzia lol
.....Usiworry tutakukatia ticket ya dream liner kesho
.....
Ha haaa vunga chalii yangu.....
Hahahaha, umesomeka chaliiHa haaa vunga chalii yangu
@mtu chake mkuu watu Wana Mi ID mingi mpaka basiiii, wanajikuta wanajichanganya sometimes.....
Yetate naneeeee!Kwa taarifa yako tu Maxence Melo na uongozi mzima wa Jf unajua kama tunaandaa party.
Kama unaona tunaibia watu, nenda karipoti kwa Maxence Melo, AshaDii au Paw kuwa waandaaji wa Party yaani mimi Madame B na Mzigua90 tunataka kuwaibia watu hivo waufute uzi.
Hahahaha
Kama wewe wa mkoani pole sana.
Ndio...wezi tunaandaa, vp imekuuma?
Nenda kashitaki
Yetate naneeeee!Kwa taarifa yako tu Maxence Melo na uongozi mzima wa Jf unajua kama tunaandaa party.
Kama unaona tunaibia watu, nenda karipoti kwa Maxence Melo, AshaDii au Paw kuwa waandaaji wa Party yaani mimi Madame B na Mzigua90 tunataka kuwaibia watu hivo waufute uzi.
Hahahaha
Kama wewe wa mkoani pole sana.
Ndio...wezi tunaandaa, vp imekuuma?
Nenda kashitaki
Una Churaaaa?![emoji12]Sioni hata wa kunilipia ndo tatizo linapoanzia lol
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mnakuaga na joto la kutosha ninyi,naomba usikose tafadhali[emoji23] [emoji23]
Nina flat la kutosha aiseUna Churaaaa?![emoji12]