JF-get together party Disemba 2018

JF-get together party Disemba 2018

Then inaonesha mtoa mada anaupeo mdogo sn angefikiria kidogo asingeandika hii takataka hapa, yy anadhani jf member wote wanaishi dar
Kwa taarifa yako tu Maxence Melo na uongozi mzima wa Jf unajua kama tunaandaa party.
Kama unaona tunaibia watu, nenda karipoti kwa Maxence Melo, AshaDii au Paw kuwa waandaaji wa Party yaani mimi Madame B na Mzigua90 tunataka kuwaibia watu hivo waufute uzi.

Hahahaha
Kama wewe wa mkoani pole sana.
Ndio...wezi tunaandaa, vp imekuuma?
Nenda kashitaki
 
Kwa taarifa yako tu Maxence Melo na uongozi mzima wa Jf unajua kama tunaandaa party.
Kama unaona tunaibia watu, nenda karipoti kwa Maxence Melo, AshaDii au Paw kuwa waandaaji wa Party yaani mimi Madame B na Mzigua90 tunataka kuwaibia watu hivo waufute uzi.

Hahahaha
Kama wewe wa mkoani pole sana.
Ndio...wezi tunaandaa, vp imekuuma?
Nenda kashitaki
Yetate naneeeee!


Acha kutunyanyapaa sisi wamikoani...[emoji4] [emoji23] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kwa taarifa yako tu Maxence Melo na uongozi mzima wa Jf unajua kama tunaandaa party.
Kama unaona tunaibia watu, nenda karipoti kwa Maxence Melo, AshaDii au Paw kuwa waandaaji wa Party yaani mimi Madame B na Mzigua90 tunataka kuwaibia watu hivo waufute uzi.

Hahahaha
Kama wewe wa mkoani pole sana.
Ndio...wezi tunaandaa, vp imekuuma?
Nenda kashitaki
Yetate naneeeee!


Acha kutunyanyapaa sisi wamikoani...[emoji4] [emoji23] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom