wewe my akanana wa Passion Lady..................usitake niropoke! Unanitaka ndo maana siishi mdomoni kwako eti babe sosoliso ananidanganya!!! ili nimwache unidake? akuuuuuuu!!!
mayooooo Ruttashobolwa kuumbeee????wewe my akanana wa Passion Lady..................usitake niropoke! Unanitaka ndo maana siishi mdomoni kwako eti babe sosoliso ananidanganya!!! ili nimwache unidake? akuuuuuuu!!!
Ninahisi shem maana siku moja ati alimuuliza Paloma kama anapenda ist lol.. mumeo Ruttashobolwa ana visa..
mayooooo Ruttashobolwa kuumbeee????
ngoja nimalize kuomboleza msiba nifanye
maamuzi magumu!!
aiseeee!!inabidi na mimi nianze
kurudi rivas wallah sikubali khaaa!!
Mhh Passion Lady hiyo "babe" umeiita vzuri lol.. Ruttashobolwa ameshakuwa samalenge huyo.. Kila amuonae kifanyio chake kinasimama..
Kuna wakati beib wangu natamani na roho nayo ingekuwa kwako.. sio mwili pekee yake ili ujue ulivyo na thamani kwangu..
cc Ruttashobolwa..
haya babe wake mie...........tujiandae na party ya JF!
Mhh Passion Lady hiyo "babe" umeiita vzuri lol.. Ruttashobolwa ameshakuwa samalenge huyo.. Kila amuonae kifanyio chake kinasimama..
umependa nilivyokuita eeeee!!
basi tufanye mapinduzi nikuite daily
babe sosoliso!!
Jamani Passion Lady.. Itakuwa raha kweli..
owk usijali babe sosoliso
ila mkeo naskia mtata kwli,hashindwi
kunitindikali mie!!
hahahaaaaa!! huby wanguUcijali hunie Paloma hana tatizo kwako mradi heshima.. Sema kazi ile shida yako Ruttashobolwa.. Hakawii kuja kunivizia na bastola yake ya mti lol..
mwisho wa michango lini vile? inshallah nitahudhuria.
utaenda my dia!!!!!!!!!!!!