JF Get Together Party kufanyika Kebby’s Hotel Jumamosi 25 Januari 2014, michango imeanza kupokelewa…

JF Get Together Party kufanyika Kebby’s Hotel Jumamosi 25 Januari 2014, michango imeanza kupokelewa…

wewe my akanana wa Passion Lady..................usitake niropoke! Unanitaka ndo maana siishi mdomoni kwako eti babe sosoliso ananidanganya!!! ili nimwache unidake? akuuuuuuu!!!

Kuna wakati beib wangu natamani na roho nayo ingekuwa kwako.. sio mwili pekee yake ili ujue ulivyo na thamani kwangu..

cc Ruttashobolwa..
 
Last edited by a moderator:

mmmmh hii ngumu kumeza
babe sosoliso na sisi tuanze kutaniana
unaonaje?loya na babe Paloma,mimi na wewe!!

mayooooo Ruttashobolwa kuumbeee????
ngoja nimalize kuomboleza msiba nifanye
maamuzi magumu!!


aiseeee!!inabidi na mimi nianze
kurudi rivas wallah sikubali khaaa!!

Mhh Passion Lady hiyo "babe" umeiita vzuri lol.. Ruttashobolwa ameshakuwa samalenge huyo.. Kila amuonae kifanyio chake kinasimama..
 
Last edited by a moderator:
mwisho wa michango lini vile? inshallah nitahudhuria.
 
Back
Top Bottom