JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

JF Get Together Party sasa kufanyika Jumamosi Tarehe 25 Januari 2014…!!!!!

Naunga mkono hoja..
Naomba nipewe nafasi ya kuja na kikundi changu cha MSEWE kutumbuiza siku ya Ghafla hiyo, huo ndio utakuwa mchango wangu.

Copy to- charminglady, Zion Daughter, Elizabeth Dominic, Avemaria, Asnam, Smile, snowhite, Lady doctor, Nivea, Lisa, miss wa kinyaru, lara 1, sister, King'asti, cacico, Asprin, Mwita Maranya, watu8, Ruttashobolwa, Teamo, TANMO, mdida, Blaki Womani, Arushaone, Mzee wa Rula, Filipo, PakaJimmy, Bishanga, LiverpoolFC, KOKUTONA, Arabela, Husninyo, MwanajamiiOne

Wallah mi ntatinga msuli wangu wakati na aangalia burdan toka kwako. Mashallah...
 
Last edited by a moderator:
Wakati tunaendelea, napendekeza kwa wale wadau walioshiriki ile Party ya awali wangetoa mapendekezo hasa nini yalikuwa mapungufu na kipi kiliboa ili tunapoendelea na maanadlizi haya tuweze kuyaweka katika mazingatio tangia mapema na watu wabadili matarajio yao.
Wadau wengi wa JF hatupendi fedhea so nadhani hichi ni kitu tukiepuke mapema toka kwenye hatua ya wazo kuelekea utekelezaji.

Naomba kuwataja wafuatao ambao walihudhuria waje kutoa maoni yao kuhusu mapungufu ili tujipange vyema: KakaKiiza, gfsonwin, Madame B, Paloma, cacico, Asprin, Rutashobolwa, amu, Marejsho, charminglady, Jiwe Linaloishi, Vin Diesel, figganigga, Amavubi, manoa, Jeska, Zion Daughter, Mulama, viviana, watu8, Tonykp, Remmy, Mamndenyi, lara 1, Kipaji Halisi, Boflo, Lusile, akenajo, Zinduna, Bujibuji, mwaJ, Bishanga, Thando, Elizabeth Dominic
 
Last edited by a moderator:
Wallah mi ntatinga msuli wangu wakati na aangalia burdan toka kwako. Mashallah...

_MG_4238.JPG


Huna lolote we Mzee, najua unataka tu kuchungulia chuchu na makalio ya warembo wa Kizenji.......
 
Wallah mi ntatinga msuli wangu wakati na aangalia burdan toka kwako. Mashallah...

Asprin unadhani Msewe ni sawa na Ngoma yenu ya Kivivu ya KICHAGA ambayo aina hata KUJISHETUA wala kuchezesha maungo ya mwili, mnanesa kama mlingoti wa Bendera ya Sultani Barghashi.......



Hebu oneni hii Lazy Dance froma Chaga Land
 
Last edited by a moderator:
Asprin unadhani Msewe ni sawa na Ngoma yenu ya Kivivu ya KICHAGA ambayo aina hata KUJISHETUA wala kuchezesha maungo ya mwili, mnanesa kama mlingoti wa Bendera ya Sultani Barghashi.......



Hebu oneni hii Lazy Dance froma Chaga Land


Allah akbar, mi penda sana hiyo makitu. Inshallah tuombe uzima. Labda itokee tu.

Baada ya kucheza niahidi utakuja keti pembeni yangu nipate raha ya harufu ya jasho lako. Mi penda sana wallah.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom