Pamoja sana mkuu yangu ni hayo tu, nimefurahi sana kujua unapenda Coding/ Programming.Mkuu napenda kufanya Coding asee japo sijabahatika kusoma kitu hiko
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Nitamsaidia..
Kwa kuwa na ari ya kujisomea vitu mbalimbali, kumpa maswali taratibu ambayo yanafanya atumie ubongo kufikiri, nitamkabidhi kwa Mungu
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Hahaa yani umejua kunishtua mweehWow that's great. Ashukuriwe Heaven Sent popote alipo
Ndio.. nilishakua nazo baadae niliziunganishaUnasema ulijiunga Jf ukiwa na miaka 16 jee ulishawahi kuwa na account zaid ya hii toka u join jf
●Nina tabia ya kutokujali muda
Mmh hapo kwenye kauchoyo jitahidi ujirekebishe●Nina tabia ya kutokujali muda
●Kupanga vitu vibaya
●Kauchoyo kidogo
●Mbishi kama waha wote walivyo!!
●Nina majibu ya kuudhi
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Najitahid sana
Ahsante sana aisee natamani sana diku moja nami niisomePamoja sana mkuu yangu ni hayo tu, nimefurahi sana kujua unapenda Coding/ Programming.
Usijali yatajibiwa wee uliza tuNitakuuliza kesho mkuu
Jukwaa la Mahusiano mapenzi na UrafikiMMU ndio wapi?
My Dada..Da'Vinci would you go back to the past or future and why?
My Dada..
Ningependa kurudi nyuma Ili nikafute makosa fulani niliyoyafanya ambayo leo hii yananighalimu maisha yangu..
Ningependa niende future ili nikamilishe ndoto zangu zangu kadhaa wazazi wakiwa bado wapo.
Sijui kama nimejibu?
mkuu ningependa kurudi nyuma lakini tunashauriwa kutokuangalia wapi tulijikwaa bali tuangakie pale tulipodondokea..Tusonge mbele hakuna kurudi nyuma kwa mantiki hiyo ningependa kwenda mbele (To go to the FutureUmenijibu nashukuru...ila ningependa kujua moja kati ya hizo mbili....ipi ni muhimu huwezi kuchagua zote.
Naweka kura yangu kwenye hili!!... Da'Vinci ni moja ya memba wanaotumia sana akili zao vizuri katika mijadala yao!.. Huyu jamaa hajui kasirika that is unique!..Inasemekana una iq nzuri (sina uhakika sababu iq haipimwi kwa uwezo wa kukariri) je ni nini kinacho verify ukubwa wa akili yako ama ni maneno ya watu?