Jf Hard Talk "Mwifwa"

Jf Hard Talk "Mwifwa"

Ningelipenda kufahamu unaelewaje? ama unatofautishaje:-
-Msichana
-Binti
-Mwanamke
Yote yana maanisha jinsia ya kike.

Lakini yanatumika kuelezea au kuwakilisha hadhi fulani ya jinsia ya kike.

Msichana:

Hili hutumika sana nyanja za elimu kutambua jinsia ya kike.

Pia hutumiwa sana na jamii kuwakilisha umri wa ujana wa jinsia ya kike(mtanisamehe maana sina uhakika na hili jibu).

Binti:

Hutumiwa sana na wazazi kutaja mtoto wao wa jinsi ya kike.

Mwanamke:

Hutumiwa sana kuwakilisha jinsia ya kike katika umri wa utu uzima.(japo mtoto akifikia balehe anakuwa katika umri wa utu uzima, kulingana na definition ya kubalehe ya Sayansi ya Shule ya msingi)

NB: Hapo ni kulingana na uelewa wangu
 
Tukiongelea matokeo form 4 unazan tatzo nn inayopelekea shule nyingi znazofny vby zitoke Visiwan na kipi kifanyike kuongeza ufaulu huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kutoa jibu la moja kwa moja kuhusu tatizo la ufaulu hasa Visiwani.

Jibu sahihi linahitaji kupatikana kwa utafiti na mimi sijafanya utafiti
 
Yote yana maanisha jinsia ya kike.

Lakini yanatumika kuelezea au kuwakilisha hadhi fulani ya jinsia ya kike.

Msichana:

Hili hutumika sana nyanja za elimu kutambua jinsia ya kike.

Pia hutumiwa sana na jamii kuwakilisha umri wa ujana wa jinsia ya kike(mtanisamehe maana sina uhakika na hili jibu).

Binti:

Hutumiwa sana na wazazi kutaja mtoto wao wa jinsi ya kike.

Mwanamke:

Hutumiwa sana kuwakilisha jinsia ya kike katika umri wa utu uzima.(japo mtoto akifikia balehe anakuwa katika umri wa utu uzima, kulingana na definition ya kubalehe ya Sayansi ya Shule ya msingi)

NB: Hapo ni kulingana na uelewa wangu
Unadhani itakuwa vyema binti au msichana asiye na bikra kuitwa -Mwanamke? (Maana ndiyo tafsiri halisi japo elemu ya Tanganyika na Zanzibar hailiweki wazi hilo)
 
Una miaka mingapi?
Chini ya 30
Jee unazungumziaje swala la wanaume Wa Jf watu wazima kujifanya wapo under 23 km ontario?
Hayo ni maigizo kama yalivyo maigizo mengine tuliyoyazoea
ukipewa mda umshauri kitu chochote Mzee Wa papuchi Zero IQ utamshauri nn

Awe makini na kila jambo analolifanya kwa kutumia busara na hekima katika maamuzi
 
Kuna watu hum Jf hata uzunguke Jf nzima hutokaa uone like yao, unawazungumziaje watu hawa, unadhani ni watu wa aina gani kwenye maisha yao halisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoa like ni maamuzi ya mtu, japo like ina maana ya kupongeza maneno uliyoyafurahia.

Uhalisi wa watu hawa ni mgumu maana unaweza kudhani yupo vile kumbe ni tofauti kabisa.
 
Unadhani itakuwa vyema binti au msichana asiye na bikra kuitwa -Mwanamke? (Maana ndiyo tafsiri halisi japo elemu ya Tanganyika na Zanzibar hailiweki wazi hilo)
Kwa kuwa hili ni neno la Kiswahili na kuna baraza la kiswahili(TUKI) wanatakiwa watupe ufumbuzi hili neno na hatimaye liwe neno rasmi la kiswahili na liingizwe kwenye Kamusi ya TUKI
 
Back
Top Bottom