Jf Hard Talk "Mwifwa"

Jf Hard Talk "Mwifwa"

Sawa mpenzi wangu, tukanywe chai kwanza
Kama shahru Khan ..dah !
images(143).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishaingiza jiko la Gesi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jiko lingine lipo mbioni mkuu
Juu kule umesema upo single
Kwny coment ya ledada umekubali bado uko mahusianoni na moneytalk,
Hapa uko mbioni kuvuta jiko

Which is which?

Or kwako "single" ina maanisha nini?

Be Humble is free of charge [emoji873]
 
Which is which?

Or kwako "single" ina maanisha nini?

Ukifuatilia jinsi swali lilivyoulizwa utaona kulikuwa na option 2 alizoziweka muulizaji.

Alisema ''uko kwenye mahusiano(ndoa au single)?"

Nikajibu ''Single"

NB: Ukiangalia hapo utagundua muulizaji alikosea alipoweka hizo option kwenye mabano, mahusiano ni baina ya watu 2, sasa akiweka neno Single linakuwa kinyume neno mahusiano.

Ilitakiwa aweke neno lingine linaloonesha mahusiano lakini isiwe ndoa badala ya kuweka neno Single.
 
Juu kule umesema upo single
Kwny coment ya ledada umekubali bado uko mahusianoni na moneytalk,
Hapa uko mbioni kuvuta jiko

Which is which?

Or kwako "single" ina maanisha nini?

Be Humble is free of charge [emoji873]
Ma mdogo unafuatilia hadi nukta[emoji12][emoji12] vipi ulitaka ujiweke?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom