JF Hard Talk "Zitto junior"

JF Hard Talk "Zitto junior"

Binadamu wata tapa tapa kutafuta wokovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili ndio moja ya sababu kwanini tunatakiwa tupite kwa theolojia maana kila mtu utakayemuuliza anatoa jibu tofauti meaning tunatumia mawazo yetu

Ila binafsi kupitia darasa la Biblia nmejifunza kuwa kila neno lina maana ndani ya biblia kuanzia mlima... Mlima yudea.... Wakati wa baridi..... Walio shambani n.k lina maana ya kiroho na mistari exactly kabisa ipo

Labda ukitaka nielewa zaidi nikupe swali moja dogo tu

Mathayo 24
7 Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa (ukame), na matetemeko ya nchi mahali mahali

Je bible inaposema hivi ilimaanisha nini??

Karibu mkuu
 
Samahani mkuu labda sikueleweka
1.nini maana ya kukimbilia mlima Yudea
2. Nini maana ya "wakati wa baridi"
3. Chukizo aliyesimama.... Je mahali Patakatifu ni wapi??

Nilitaka unsiaidie figuratively zina maana gani
Najibu kama ifutavyo swali moja moja:
Utanipa uelewa wako wew pia kama tutatofautiana sana;-

Swali la
1. Ukisoma juu kidogo utaona Yesu akiwa anaongea na wanafunzi wake, walikua katika pande za milima, so na nadhan huko uyahudi kuna maenro mengi ya milima, so katika uharibifu huo utakao tokea ulio nenwa na Daniel, basi wayahudi wengi ndipo watafikilia kukimbilia miliman
Anajarbu kukuonesh kuwa kutakuwa na uharibifu mkubwa kiasi gani.

2. Ndio akawaambia bora isiwe wakati wa baridi, watateseka na baridi wakifata wokovu siku za mwisho zikikaribia,
Maana kaeleza wazi watu watatapa tapa sana kutafuta wokovu, watatokea manabii wengi wa uwongo wanao tenda miujiza,
Mfano kumbuka kipindi cha kikombe cha babu, watu walivo safir kwenda alipo. Na hiyo ni kidogo tu kimefanywa na boya fulan huku tz.

3. Mstari wa 15_ Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Daniel limesimama katika patakatifu

Ni kwamba uharibifu huo waliambia toka nyuma na Nabii Daniel, so Yesu anawaambia ndipo wataona chukizo au ubaya wa lile lililonewa na Daniel.

Na kuwa ndipo watajua kuwa ni kweli limesimama katika patakatifu. Yaniiiii ni jambo ambalo Mungu kapanga litokee. Means lipo kwenye mipango ya Mungu,

Ya Mungu huitwa matakatifu.




NADHANI UTANIPATA KIDOGO HAPO MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu maneno hayo yasikuvuruge sana hayo lazima yatokeee siku ya mwisho ikikaribia, si unaijua story ya sodoma na gomola,

Sasa mwisho wa dunia ukikaribia dunia itakua imechafuka mala mia yake.
Na hili ndio moja ya sababu kwanini tunatakiwa tupite kwa theolojia maana kila mtu utakayemuuliza anatoa jibu tofauti meaning tunatumia mawazo yetu

Ila binafsi kupitia darasa la Biblia nmejifunza kuwa kila neno lina maana ndani ya biblia kuanzia mlima... Mlima yudea.... Wakati wa baridi..... Walio shambani n.k lina maana ya kiroho na mistari exactly kabisa ipo

Labda ukitaka nielewa zaidi nikupe swali moja dogo tu

Mathayo 24
7 Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa (ukame), na matetemeko ya nchi mahali mahali

Je bible inaposema hivi ilimaanisha nini??

Karibu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu maneno hayo yasikuvuruge sana hayo lazima yatokeee siku ya mwisho ikikaribia, si unaijua story ya sodoma na gomola,

Sasa mwisho wa dunia ukikaribia dunia itakua imechafuka mala mia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
What i meant is mtu ambaye hajapita darasa la Biblia atasema hiyo njaa na ukame ni wa chakula ila aliepitia theolojia atajua ina maana hii kwamba njaa ni ya kiroho sio kimwili

Amos 8:11
11 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana MUNGU, ambazo nitaleta njaa katika nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, bali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA.

Figurative language huwezi ielewa ukisoma kwa uelewa wako na ndio maana kuna watu mpaka leo wanaamini sijui hekalu litajengwa Israel!! Sababu wanadhani biblia ni lateral kumbe ni figurative

Sk nilitaka hilo nilieleze tu
 
Kwanza shukrani kwa kufuatilia mada zangu,

Theology sijasomea ila nilikua na interest sana na mambo ya imani hivyo katika pita pita zangu nikapenda kujifunza zaidi kuhusu imani niliozaliwa nayo kupitia wazangu wangu (ukristo) hivyo ndio nikaanza kufuatilia baadhi ya mambo na nikajenga interest sana kwenye topic hiyo.

''Library'' yangu kwanza inatisha maana inajaa vitabu vya mystery na horror.... Mfano angeology (elimu ya malaika ), greek mythology,apocrypha,Bible,mystery za ajabu mfano bermuda triangle n.k zaidi ya hapo ni vitabu vya historia ahasa ancient history kma egyptology,ancient african empires,middle east history n.k
Kuna sehemu umetaja BermudaTriangle, hivi ni nini hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo akuna cha ajabu ambacho Mungu kakunyima wew ushindwe kuelewa ukiwa wew kama wew na msaada wake pia,

Neno la Mungu utakapo lisoma lazima umshirikishe Mungu, pia ukfundishwa ni lazima kushika biblia na wew kama wew na kutafakar hilo neno, kwa itakujengea iman kubwa wew kama wew katika kitabu kitakatifu cha Mungu,

Ila ukisikiliza ya watu pekee uka kudanganywa bil kujua.

Swala la kusoma huku na huku na kutafuta maana ya maandiko ni jambo ambalo halikwepeki, ni kweli **** mambo mengi tafaaili zake waweza kuzikuta pengine katika vifungu vya biblia.
What i meant is mtu ambaye hajapita darasa la Biblia atasema hiyo njaa na ukame ni wa chakula ila aliepitia theolojia atajua ina maana hii kwamba njaa ni ya kiroho sio kimwili

Amos 8:11
11 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana MUNGU, ambazo nitaleta njaa katika nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, bali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA.

Figurative language huwezi ielewa ukisoma kwa uelewa wako na ndio maana kuna watu mpaka leo wanaamini sijui hekalu litajengwa Israel!! Sababu wanadhani biblia ni lateral kumbe ni figurative

Sk nilitaka hilo nilieleze tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sehemu umetaja BermudaTriangle, hivi ni nini hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni topic ndefu kidogo na kuna nyuzi mbalimbali zimegusia hilo humu JF ila inahusu eneo ambalo pana mvutano mkubwa sana wa "electromagnetism" kusababisha ndege zipotee katika mazingira ya kutatanisha wengine wanahusisha na mambo ya ushirikina kwamba kuna geti la kwenda kuzimu n.k so nadharia zipo nyingi hivyo bado ni suala lenye mjadala mpana sana.
 
Ni topic ndefu kidogo na kuna nyuzi mbalimbali zimegusia hilo humu JF ila inahusu eneo ambalo pana mvutano mkubwa sana wa "electromagnetism" kusababisha ndege zipotee katika mazingira ya kutatanisha wengine wanahusisha na mambo ya ushirikina kwamba kuna geti la kwenda kuzimu n.k so nadharia zipo nyingi hivyo bado ni suala lenye mjadala mpana sana.
Zito Jr una malengo ya kuja kupata kipato chako cha kujimudu mahitaj yako kupitia inshu gani???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zito Jr una malengo ya kuja kupata kipato chako cha kujimudu mahitaj yako kupitia inshu gani???

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitaaluma nilisomea masuala ya uchumi na baishara na nimefanya kazi kwenye taasisi kadhaa za fedha ila kwa sasa nimeamua kujipatia muda wa kuongeza elimu/utaalam kidogo ili nijiajiri mwenyewe.

Ningependa sana siku moja niwe muwekezaji kwenye masuala ya kilimo maana naamini bado kuwa Tanzania ya kilimo ndio itatufikisha kwenye uchumi wa viwanda, hivyo ni lazima hata vijana tujikite huko pia.
 
Njia ya kupata mtaji wa kufanya hilo jambo unayo tayar au unaijua?
Kitaaluma nilisomea masuala ya uchumi na baishara na nimefanya kazi kwenye taasisi kadhaa za fedha ila kwa sasa nimeamua kujipatia muda wa kuongeza elimu/utaalam kidogo ili nijiajiri mwenyewe.

Ningependa sana siku moja niwe muwekezaji kwenye masuala ya kilimo maana naamini bado kuwa Tanzania ya kilimo ndio itatufikisha kwenye uchumi wa viwanda, hivyo ni lazima hata vijana tujikite huko pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza shukra
''Library'' yangu kwanza inatisha maana inajaa vitabu vya mystery na horror.... Mfano angeology (elimu ya malaika ), greek mythology,apocrypha,Bible,mystery za ajabu mfano bermuda triangle n.k zaidi ya hapo ni vitabu vya historia ahasa ancient history kma egyptology,ancient african empires,middle east history n.k

Noma sana, very impressive.

Dan Brown kwenye Da Vinci Code anazungumzia issue ya Holy Grail, na kwamba Mary Magdalene alikuwa mke wa Yesu, na kwamba ndiye aliyeachiwa kanisa badala ya St Peter.

And then Bart D Ehrman kwenye Truth and Fiction in the Da Vinci Code anapangua points za Dan Brown kwa kusema kwamba Holy Grail ni fictitious issue na vitu vingine vingi anavikataa.

Kama mdau wa history juu ya hayo mambo, umewahi kukutana na hizo issues most likely, nini msimamo wako kuhusu kwamba Yesu na Mary Magdalene walikuwa mtu na mke wake?
 
Hahahahah mkuu shukrani kwa kutia timu Nasubiri Hard talk yako nina maswali lukuki......

Ntakuja PM shortly
Naachaje sasa kuifuatilia hii interview wakati anaye hojiwa ni Moja ya watu wachache wa Jf wenye akili Kubwa kama mlima sayuni "

Hebu ngoja nikae kitako vyema nipate nondo hapa ...

Mkuu nakusalimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini umejiita Zitto Junior???

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
Wakati natafuta ID gani ya kutumia humu JF kipindi hicho zitto alikuwa anatrend sana hasa kesi yake na CHADEMA hivyo likanijia wazo kwanini nsiite tu zitto junior.... Kiufupi nilikuwa namkubali sana zitto na kiukweli ndio mtu aliyenifanya kuanza kufuatilia siasa tokea 2006

nakumbuka hata laptop yangu ya kwanza kumiliki enzi hizo wallpaper nilimuweka zitto na nilikuwa na folder zima limejaa maandiko na video zake akiwa jukwaani,makongamano na bungeni lenye uzito wa takriban GB 20!! dah mahaba bhana!!

Anyway that was back then nikiwaga undergraduate...
 
Naachaje sasa kuifuatilia hii interview wakati anaye hojiwa ni Moja ya watu wachache wa Jf wenye akili Kubwa kama mlima sayuni "

Hebu ngoja nikae kitako vyema nipate nondo hapa ...

Mkuu nakusalimia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha mkuu wangu upo.... Nmeona jana kuna kaburi lilifukuliwa nikakuta post yako ya "a talking snake" nilicheka sana
 
Back
Top Bottom