hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Yeah ndio maana ni ka-watag watu makini ambao wanaweza kuuliza maswali critical zaidi ambayo yatakuwa yame utendea haki huu uzi kutokana na hadhi ya weledi wa kufikiri ambayo anayo muhusikaMkuu naona kabisa maswali yatakuwa shallow, mpaka nianze kurudi kureview threads zake na zilivyokuwa umiza kichwa, ntajichosha tu.
Ntasoma maswali yenu na mimi hayo hayo ntakuwa nasema, na mimi nilitaka kuuliza hilo hilo, umeniwahi.
Sent using Jamii Forums mobile app