Hahaha..........kwamba mkishindwana na chochote ndani lazima aje akuanzishie Uzi JF ๐ ๐Wanaume wanaogopa wanawake wajuaji.. ukishakua na account Jf moja kwa moja anakuona mjuaji ni sawaa na kuoa mwanasheria
Aah bora alionesha makucha kabla hamjafunga pingu maana ingekuwa kisangaAisee ilinicost
Hahahahaha,sawa sawa, na ukikumbuka wanavyo temaga nyongo humuWanaume wanaogopa wanawake wajuaji.. ukishakua na account Jf moja kwa moja anakuona mjuaji ni sawaa na kuoa mwanasheria
Sasa upo single au?Samaleko,
Basi bwana, miaka kadhaa nyuma nilikuwa na Id yangu xxxx, haikuwa Maarufu hata kidogo, nilikuwa napenda kumchangia kidogo kwenye Jukwaa la siasa, intelligence na international news na History.
Sasa Maulid moja akaja ex shemeji yenu kunitembelea,Kwa kawaida nikiwa nyumbani napenda sana kumsikiliza Country music,basi nikawa nimewasha laptop zile miziki zinaimba,halafu tab nyingine nilifungua JF,Sasa yule bwana alivyofika Mimi napikapika akasema bwana mi natoa Hawa wababu wako,
Nia abadilishe aweke miziki anayopenda yeye,Mimi Niko zangu napikapika,basi Ile anaendelea kushikashika laptop nikasikia naulizwa.
Baby una account Jamii forum?
Mi kiroho safi nikamjibu eeh mbona siku nyingi๐๐
Eeeeeh bwana nilisimangwaaa,nilisomewa risala,niliambiwa sifai kabisa,Mimi sio wife material,maana mke wa mtu hawezi kuwa member wa JF.
Basi kila mkitofautiana utakisia wewe umeshaharibika sababu ya JF๐,ikawa JF,JF,JF sipumui,mpaka safari ikaishia njiani...
Sasa nikawa nashangaa Ina maana wadada tulio JF tuna tabia mbaya kiasi hiki๐คฃ??eti kina kaka mkigundua wapenzi zenu ni member wa JF mtakasirika?
NB:nilihisi lazima na yeye ni member humu ila sijui ID yake,nikabadili zangu ID chaaaa..
Happy Maulid to all
Mdudu roastHata sijaapika Niko zangu kitandani nachat tu hapa baadae nitenda kushushia Maulid na mdudu
Eeh Mkuu... ni mwendo wa nyuzi.. na comment ambazo ukisoma unahisi ni mimi kabisaa hapa nalengwaa๐๐๐Hahaha..........kwamba mkishindwana na chochote ndani lazima aje akuanzishie Uzi JF ๐ ๐
Hatari
Imebidi nifunge na kuliombea hili jambo, maana inakuwa too much sasa. Ndio maana tunahusishwa na upumbavu na ujinga kisa kupenda utani wa kimahaba.๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Mwamba alileta uoga tu....
Ila legend unajitahidi sana kuflirt ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐Hapo ndo kabisaa unakatwa mainiHahahahaha,sawa sawa, na ukikumbuka wanavyo temaga nyongo humu
Sioni dalili ya kurudi nyumbani, kama package ya leo itakuwa hivi Mjukuu ๐คชUtakunywa Pearl bay usijali babu mzuri mzuri ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃSasa utalala wapi babu Hadi unaga kabisa?Sioni dalili ya kurudi nyumbani, kama package ya leo itakuwa hivi Mjukuu ๐คช
Ngoja nimtumie Bibi yenu hela ya Matumizi mapema then nimwambie kuwa naelekea Kliniki yangu ya Presha ๐ค
Kumbe ni weweNambie shem ๐๐๐
Nimemiss vocha zako tajiri
๐๐๐๐Mkigombana usiku unamkuta kwenye ule uzi wa Jf usiku wa manane anachati zake wakuu wanamchekesha yeye bila hiyana anajiachia tuu full kucheka๐๐๐Unapigwa za uso mpaka akili inakaa sawa๐คฃ
Hiyo inaitwa mbwa Kala mbwa ๐๐๐Wakina Asha jibwa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kuna watu walitongozana kuja kukutana kumbe majirani na wote wana ndoa zao
Yaani Hana habari ana furaha zake๐คฃ๐ ๐ ๐๐๐๐๐Mkigombana usiku unamkuta kwenye ule uzi wa Jf usiku wa manane anachati zake wakuu wanamchekesha yeye bila hiyana anajiachia tuu full kucheka๐๐๐
Hiyo ndoa ikimaliza mwaka basi mliumbwa kukaa pamoj๐
Kuna nini Kibaha mkuu?Kibaha [emoji16][emoji16][emoji16]
Na ukiwa na maradhi ya Uzee kama Babu zao hapa huchelewi kuwahishwa Muhimbili kwaajili ya Presha ๐ ๐Eeh Mkuu... ni mwendo wa nyuzi.. na comment ambazo ukisoma unahisi ni mimi kabisaa hapa nalengwaa๐๐๐