Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ni tatizo haswa mwanamke kuwa mjuajiπππHapo ndo kabisaa unakatwa maini
Kwa mila zetu hizi mwanamke akijua kila kitu na penyewe ni shida tulishakalilishwa mwanaume ni kichwa mwanamke anafata
Sasa kama yupo humu... na unapingana na mambo ya usawaa utaona ndoa chungu
Itakua alitumia ID nyingine kukutongoza ukakataaasa nikawa nashangaa Ina maana wadada tulio JF tuna tabia mbaya kiasi hikiπ€£??eti kina kaka mkigundua wapenzi zenu ni member wa JF mtakasirika?
Kufunga na kuliombea kimoyomoyo Hahaha!Mmmh legend mfungo kabisa?π€£π€£
πππwewe unabaki unaumia roho...Yaani Hana habari ana furaha zakeπ€£π π π
Hii Kibaha huwa inaniacha mdomo wazi aisee, mambo yamekuwa mengi sanaπ€£Itakuwa una scandal wewe
HahahahahahahahaππππMkigombana usiku unamkuta kwenye ule uzi wa Jf usiku wa manane anachati zake wakuu wanamchekesha yeye bila hiyana anajiachia tuu full kuchekaπππ
Hiyo ndoa ikimaliza mwaka basi mliumbwa kukaa pamojπ
πππMapemaa sanaa wanakuwekea moyo wa kuchaji uone nafuu kidogoNa ukiwa na maradhi ya Uzee kama Babu zao hapa huchelewi kuwahishwa Muhimbili kwaajili ya Presha π π
Utatukuta madhabahuni,jumuiyani na tupo kaunta pale viti virefu....na hamna kitu utafanyaWanaojichanganya π€£π€£π€£π€£na ndio sie sie wa Kwa Kuhani Mussa na Kwa Mwamposa
Kama una Sebule nitalala hapo hapo, si Kwa Mjukuu wanguπ€π€£π€£π€£π€£Sasa utalala wapi babu Hadi unaga kabisa?
Hatari sana Mkuu ππππMapemaa sanaa wanakuwekea moyo wa kuchaji uone nafuu kidogo
Na anaitwa chemba kama kawa πππππππMkigombana usiku unamkuta kwenye ule uzi wa Jf usiku wa manane anachati zake wakuu wanamchekesha yeye bila hiyana anajiachia tuu full kuchekaπππ
Hiyo ndoa ikimaliza mwaka basi mliumbwa kukaa pamojπ
Nadhani Asilimia kubwa wanasheria kuolewa ni ngumuπππkisa ujuajiNi tatizo haswa mwanamke kuwa mjuaji
Changamoto sanaNadhani Asilimia kubwa wanasheria kuolewa ni ngumuπππkisa ujuaji
Kama una roho nyepesi unaweza kuwai Pm ya mtu aliyemwita muongee kiumeπππNa anaitwa chemba kama kawa πππ