JF ilivyoua huba langu

Usiihusishe Maulid na uasherati na uzinzi wako. Koma.
 
Mnasumbua tu na mapengo yenu bhana
Hahaha.................hasa tukishalewa, hatuchelewi kukupa kadi na nywila ili ukatoe salio benki πŸ˜…

Tukilala ni mwendo wa kukoroma hadi kunakucha πŸ€ͺ
 
Kwa kweli Mkuu, sikuwahi kuamini kwamba yangeweza kunikuta katika umri huu wa miaka 78 niliyonayo πŸ™Œ
Si mlishasema Ngombe hazeeki maini

Kwa sababu bado nguvu zipo na mnapumua tuendelee tu kutesekaπŸ˜€πŸ˜€
 
Yaani unakaa ukiwinda nani ananichinjia ngamia wangu πŸ˜‚
Na hapo hata hamjafika jangwaniπŸ˜€πŸ˜€na ngamia wako ni Jf tu umeshindwa kuvumilia

Yakianza yale unapiga simu hayupo hewani saa zima πŸ˜ƒ sijui utakuwa kwa hali gani

Mwisho wa siku kauli ni ile ile hakuna komando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…