Hata sijaapika Niko zangu kitandani nachat tu hapa baadae nitenda kushushia Maulid na mduduHii haiendi bila mwaliko, fanya mpango wa location nifanye kuja kuonja mapishi ya Mjukuu 🤗
========
Binafsi sioni shida kuwa na Mahusiano na mtumiaji wa JF, shida yangu ni ile mibebisho mnayofanyiana humu.
Yaani kama una roho nyepesi unaweza kukuta unampiga mtu Risasi bila kukusudia 🙌
🤣🤣🤣🤣 Aisee una hasira mbayaNdiyo, ila ni zamani kidogo
Mnajua kuna wakati mnabebishana humu hadi watu roho zinakuwa juu juu
Maana kuna Msanii aliwahi kuimba eti "Hainaga Ushemeji Tunakulaga"
Ni bahati tu tumezeeka tu ila Wivu bado ninao 🤪
Hahahahaha🤣🤣🤣🤣🤣What if ur wife is one among us using her fake ID?
uashaolewa au bado uposokoniUsijali,chukua nafasi yangum
Nzuriii Chakorii umepotea bibieMkuu habari ya siku aise
Kumbe unajua hiloKila kitu tunajua,tatizo watu hawataki watu wanaojua mambo mengimengii
Inabidi iwe hivyo, flirting zimekuwa sehemu ya maisha yangu nikajaribu kuacha hapa kati ila naona nimerudi kule kule.🤣🤣🤣Utasikia watu wanaitana chamber kabisa🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo umeihirisha?
Kilichonipa imani ni kuwa Bibi yenu naye umri umemtuma Mkono.🤣🤣🤣🤣 Aisee una hasira mbaya
Naona hii ni dalili ya kutuchuja sie Wazee tusio na Meno ya kutafuna Mfupa.Hata sijaapika Niko zangu kitandani nachat tu hapa baadae nitenda kushushia Maulid na mdudu
🤣🤣🤣🤣 Mwamba alileta uoga tu....Inabidi iwe hivyo, flirting zimekuwa sehemu ya maisha yangu nikajaribu kuacha hapa kati ila naona nimerudi kule kule.🤣🤣🤣
Halafu unaeleweka vibaya, yaani huyo mwamba namuelewa sana, huwezi kujitetea tu kuwa tunastorisha kawaida.
Hapo sawa, waambie ile pilipili ya kunikia iwepo pia.Utakunywa supu ya mdudu hapohapo inauzwa usijali babu