JF ilivyoua huba langu

JF ilivyoua huba langu

Hii haiendi bila mwaliko, fanya mpango wa location nifanye kuja kuonja mapishi ya Mjukuu 🤗

========
Binafsi sioni shida kuwa na Mahusiano na mtumiaji wa JF, shida yangu ni ile mibebisho mnayofanyiana humu.

Yaani kama una roho nyepesi unaweza kukuta unampiga mtu Risasi bila kukusudia 🙌
Hata sijaapika Niko zangu kitandani nachat tu hapa baadae nitenda kushushia Maulid na mdudu
 
Ndiyo, ila ni zamani kidogo


Mnajua kuna wakati mnabebishana humu hadi watu roho zinakuwa juu juu

Maana kuna Msanii aliwahi kuimba eti "Hainaga Ushemeji Tunakulaga"

Ni bahati tu tumezeeka tu ila Wivu bado ninao 🤪
🤣🤣🤣🤣 Aisee una hasira mbaya
 
Kwa hii mibebisho ya humu, ngumu sana kuvumilia aisee!!

Ndio maana nimeacha kubebika🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hii mibebisho ya humu, ngumu sana kuvumilia aisee!!

Ndio maana nimeacha kubebika🤣🤣🤣🤣
Utasikia watu wanaitana chamber kabisa🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo umeihirisha?
 
Utasikia watu wanaitana chamber kabisa🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo umeihirisha?
Inabidi iwe hivyo, flirting zimekuwa sehemu ya maisha yangu nikajaribu kuacha hapa kati ila naona nimerudi kule kule.🤣🤣🤣

Halafu unaeleweka vibaya, yaani huyo mwamba namuelewa sana, huwezi kujitetea tu kuwa tunastorisha kawaida.
 
🤣🤣🤣🤣 Aisee una hasira mbaya
Kilichonipa imani ni kuwa Bibi yenu naye umri umemtuma Mkono.

Hakuna Kijana anaweza mvizia Mshangazi mwenye miaka 65 kwahiyo hata akiwa anabebishana nao hapa naona hakuna dalili ya kuibiwa 🤪
 
Inabidi iwe hivyo, flirting zimekuwa sehemu ya maisha yangu nikajaribu kuacha hapa kati ila naona nimerudi kule kule.🤣🤣🤣

Halafu unaeleweka vibaya, yaani huyo mwamba namuelewa sana, huwezi kujitetea tu kuwa tunastorisha kawaida.
🤣🤣🤣🤣 Mwamba alileta uoga tu....
Ila legend unajitahidi sana kuflirt 🤣🤣
 
Back
Top Bottom