Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oteee! Waore kisiranyi kiwichoo!!watu wengine noke suko[emoji23]
Inaliwa mbon kimkati tu niushamba unamsumbuaKwani mtaani hailiwi?
Unachokosea wewe Binti yangu,,unanikadiria mnoo,, naomba upunguze kama si kuliondoa kabisa Hilo jambo la kukadiria MTU katika Fikra zako!!Usisite kunipa Huba Bibie Joanhh!!Babu maini yamechoka sasa
Nlikuwa nakuangalia ulivonona kipindi kile ulivo mzuri nakareflect na member wa jf walivo na nguvu za kiume nyingi wanasema wanapiga bao 9 kwa kuunganisha zote na kila goli dkk 125, nikawaza walivo na pesa nyingi magari ya bei ghali, walivo na connection ya huko United Nation walivo na elimu za kutisha🤔🤔nikajiangalia na mm nilivo aisee nikaona Sina languKwa Nini Sasa ulikuwa na gubu?
🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo we ulitishika na uongo wao?we magari ya nyuma ya keyboard ndio uliyaogopa?Nlikuwa nakuangalia ulivonona kipindi kile ulivo mzuri nakareflect na member wa jf walivo na nguvu za kiume nyingi wanasema wanapiga bao 9 kwa kuunganisha zote na kila goli dkk 125, nikawaza walivo na pesa nyingi magari ya bei ghali, walivo na connection ya huko United Nation walivo na elimu za kutisha🤔🤔nikajiangalia na mm nilivo aisee nikaona Sina langu
anataka mshindane na watoto wa 2005 😁😁😁Well said,kasema nilitakiwa niwe Twitter mtandao wa wasomi😁😁😁
Nikawaza kama umeshajua wenzangu walivopiga hatua na wakati ule unajua kbs mimi Sina hata kiwanja kigamboni, mpiji magohe au chamazi unafkir ningeishije Kwa amani?🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo we ulitishika na uongo wao?we magari ya nyuma ya keyboard ndio uliyaogopa?
Mkuu habari ya siku aiseHumu watu wajuaji sana
Amen brazaMaombi yangu yako pamoja na wewe
Nawewe uache chokochoko sasa
Acha tule pensheni zetu kimasihara huku😀Hajui nimewazidi 20 years
Mwanamke mjuaji ,JauKila kitu tunajua,tatizo watu hawataki watu wanaojua mambo mengimengii