Jf inatisha: Kuna member wawili maarufu walikuwa hotelini week nzima wakijunjana chiii!

Nakufa mm jaman hebu nitumie vocha kwanza Jaman Mwifwa jaman[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Bado nipo kitandani hapa, nashindwa kufikia hitimisho la kupata sehemu ya kwenda kufuja haya mafweza, ebu njoo chapu uje uchague sehemu unayoitaka tukafanye mawandazi
View attachment 1075411
 
Dah...nukta zinazidi kujiunga tu...Wana malenga tunaelewa .....maisha ni bafu...[emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]

Cc: Profesa Mike June Romeo
 
Nakufa mm jaman hebu nitumie vocha kwanza Jaman Mwifwa jaman[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Twende tukale Biriani huku mjini, tukisaza utachukua za bando
 
Sipendagi vitu vigumu mim@Demiss wew [emoji42]
 
[emoji23][emoji28] hahahaa kwa Leo nimekufa pamoja na Kristo labda jumatatu nikifufuka mtanikuta galilaya
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sawa sawa ngoja tuvute subira maana hatuwezi kukuvumilia kabisa kwa kitendo hicho
 
Hahahahaha unganisha zotee
Dah...nukta zinazidi kujiunga tu...Wana malenga tunaelewa .....maisha ni bafu...[emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]

Cc: Profesa Mike June Romeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…