Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Jisalimishe kwenye kamati ya maadili, la sivyo nitakuburuza kwa pingu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Udhaifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jisalimishe kwenye kamati ya maadili, la sivyo nitakuburuza kwa pingu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Udhaifu
Then jackpot sema uyu naye bibie Demis sikaamini[emoji1]Mkuu nimejaribu kubahatisha tu
[emoji23][emoji28] hahahaa kwa Leo nimekufa pamoja na Kristo labda jumatatu nikifufuka mtanikuta galilayaJisalimishe kwenye kamati ya maadili, la sivyo nitakuburuza kwa pingu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bado nipo kitandani hapa, nashindwa kufikia hitimisho la kupata sehemu ya kwenda kufuja haya mafweza, ebu njoo chapu uje uchague sehemu unayoitaka tukafanye mawandazi
View attachment 1075411
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nakufa mm jaman hebu nitumie vocha kwanza Jaman Mwifwa jaman[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Wanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa!
Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]
Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]
Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.
Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.
Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.
Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.
Location: Kiomboi Singida.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji28] hahahaa kwa Leo nimekufa pamoja na Kristo labda jumatatu nikifufuka mtanikuta galilaya
Pole dada yanguSipendagi vitu vigumu mim@Demiss wew [emoji42]