Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Wanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa!
Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]
Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]
Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.
Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.
Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.
Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.
Location: Kiomboi Singida.
Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 .
Na nyie vichwa vyenu vizito kama nini si yule ambaye I'd yake unaitamka kisukuma jaman yani lazima uitamke kisukuma[emoji4][emoji4]
Yani wanakamati wagumu nyiee[emoji28]
Bwana bwana nasikia alikwea pipa la Auric huyoo mpaka nyanda za juu kusini kwenye 5 star hotel na yule bi mwafundenge. Chiii mnachosha jaman kuandika aggggr [emoji39][emoji39][emoji39]
Yule member maarufu anakaa makao makuu nasikia na yeye alikwea basi akapita milima yotee ya Nyanda za juu kusini kwenda kula bata na huyuu mzee wa Kukandamiza hivi bado hamjamjua tu mbna maarufu sana tu humuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia wamekaa week nzima wakila bata jaman kweli Jf kichaka cha kizaaa [emoji23][emoji23]Mambo mengi muda mchachee.
Wanakamati bi mwafundenge nasikia ni x wa mganga maarufu Jf chiiii sitak kesi mimi agggggr msinichoshe tusichoshaneee tatizo mavichwa yenu magumu kanyweni supu ya samaki huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawakujua kama wambea tupo kazini bhn si tukaona tu status tsap zinasoma location mojaaa chiiii tukawanyapia nyapiaaa bhn bhna hata tiket zao zimesoma tarehe mojaa aaaag.
Wanajf mtabaki kuwa juuu mawinguniiiiii.
Nyongeza: Demiss siwezi kubaki na umbeya jaman kifua kitapasuka.
Location: Kiomboi Singida.