Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unautani na mwenye nyuzi zake pendwa Kama , vyakula tu, na walevi tu[emoji3]Code nyepes sana hii!
Kidume hapo ni yule Simba wa Bynz!
Ibadili kwa kisukuma!
Mganga maarufu ni yule mwenye jina linaloanzia na M na kuishia na R!!
Ataoigwa kidafu nasikia yule jamaa Ni mgangaAnatafuta kesi atayapata
Ngoja niwaachie bhn eti eeeh
haaaa kama unacho kidogo njoo uchukue changu hao members wana ku zoom tu wote wapo online haaaaaaSitaki kuvimbiwa umbeyaa nitapasuka kifua
Udhaifu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Haya bana, ungejua tu....ila wewe ni wa matawi ya juu, kileleni, mawinguni
Sema wapi mama, fantasy au Morena this holiday?Uje bhn naona miamala inasoma naomba nipeleke five star hotel chiii nataka bataaa
Kabisa,haupendezi.Endelea tu kama zamani yani normal participation.Unajua watu wa story hizi humu jf huwa tunawaona kama sijui nn?Kuna warumi,mtanashati,kasie,lara1,guudume,zeroQ,galadudu etc.Huwa wamedharaulika flani hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nipo kitandani hapa, nashindwa kufikia hitimisho la kupata sehemu ya kwenda kufuja haya mafweza, ebu njoo chapu uje uchague sehemu unayoitaka tukafanye mawandaziUje bhn naona miamala inasoma naomba nipeleke five star hotel chiii nataka bataaa
Inatakiwa unabadilika badilika mpaka week mbili ziishe ndo nitaaacha
Ha ha haaaaAnatafuta kesi atayapata
Mkuu nimejaribu kubahatisha tuMkuu unautani na mwenye nyuzi zake pendwa Kama , vyakula tu, na walevi tu[emoji3]