walimu wangekuwa wananuna yaani hadi mbele yao tunakumbatiana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakati tunajikomoa!
Hao wengi, hata huyo jamaa alipata 4, na alikuwa anakesha prep.Kuna mmoja darasani kwetu nilikia nikienda prep namkuta na namuacha. Asubuhi nikienda drasani namkuta. Form six akazungusha zero. Alikua anapenda elimu maskini ila elimu haikumpenda
Akumbukwe mzigua 90, the smart & cute girl.Kuna mmoja darasani kwetu nilikia nikienda prep namkuta na namuacha. Asubuhi nikienda drasani namkuta. Form six akazungusha zero. Alikua anapenda elimu maskini ila elimu haikumpenda
Mwalimu wetu wa Biology alikuwa anaongea kama anasinzia, na vipindi vyake vya mchana. Hivyo kusinzia ni given hapo ushashiba chai mihogo. Ili usisinzie inabidi uandike maneno anayochapia maana alikuwa anachapia balaa. Akiondoka tunayaandika ubaoni.Kwa kweli, kuna walimu wengine hawachangamshi darasa ki hivyo!
Msuli tembo matokeo sisimizi.Kuna mmoja darasani kwetu nilikia nikienda prep namkuta na namuacha. Asubuhi nikienda drasani namkuta. Form six akazungusha zero. Alikua anapenda elimu maskini ila elimu haikumpenda
Tulipatia msemo hapo, ukimkuta mtu prep anasinzia unamtania naona una-think.Mbavu zangu Mweeh! 😀😀😀😀😀
Eti alikuwa ana think!...😀😀
Darasani pazuri zaidi pako kimya!.. unajua me na kelele tusivyowezana!. Halafu wakuda wengi tusumbuane kyitana ovyoo!.. Unajua nna Queen Album ya Nick M utaipenda nakwambia!..Tukutane uwanja wa basketball
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]walimu wangekuwa wananuna yaani hadi mbele yao tunakumbatiana
hadi chooni wote
kwani kichwa cha huu uzi kinasemaje ??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wasingetuacha, kwani shule ya baba mkwe!!!
Walimu wasingetuacha salama, ban ya maisha ingetuhusu.kwani kichwa cha huu uzi kinasemaje ??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tulipatia msemo hapo, ukimkuta mtu prep anasinzia unamtania naona una-think.
Au mwenyewe anakujibu niko na think.
Nikionaga hii kauli mbiu ya Great Thinkers namkumbuka jamaa.
tungechoma moto shule halafu tunahamia fb kule hata washindane vipi ila hawashindiWalimu wasingetuacha salama, ban ya maisha ingetuhusu.
HaahhahahahMnakumbuka sakata la samaki wa Magufuli, mwishoni ilibidi wagawe mashuleni hasa ya mkoa wa Dar na pwani. Tuliletewa shuleni kwetu baada ya kula tulihara shule nzima.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]tungechoma moto shule halafu tunahamia fb kule hata washindane vipi ila hawashindi
Mtaje.Kuna mtu ningemuandama hadi awe wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnakumbuka sakata la samaki wa Magufuli, mwishoni ilibidi wagawe mashuleni hasa ya mkoa wa Dar na pwani. Tuliletewa shuleni kwetu baada ya kula tulihara shule nzima.
Wewe hapoMtaje.