JF ingekuwa gazeti la udaku.


Kumbe kabadili jina
 
Hili swali hawezi kukujibu hadharani,mfate sirini atakujibu.

Huwa sitaki mchezo linapokuja suala hili,hakika mtanange ulikuwa mzito sana,lakini mwisho wa siku walikata ngebe zao. Ninastahili pongezi za dhati mno.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siri sio siri tena

Hatimaye ile new ID inayopita katika PM za wadada na kuwadodorishia 1M mods waiweka hadharani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Ni ipi jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…