Hili swali hawezi kukujibu hadharani,mfate sirini atakujibu.πππ Saint anne Marianah ya kweli haya ndugu
Ukurasa wa mbele ungesomeka "Hatimae yule binti aliyekuwa akifahamika kwa jina la felister A.K.A muuza na mchoma nyama katika viunga vya dodoma abadili jina na kujiita Depal kuepuka kasumba mbalimbali baada ya unaosemekana kuwa mguu wake kuonekana ukitrend katika kijiji cha JF baada ya kuvutwa na kukuzwa kwa msaada wa VAR na mmoja wa mabaharia wa JF"
Ni utani tu bebe Depal nakukubali sana π π π
Wewe kijana acha hizo mambo aise
Asante kwa offer, Leo nipo na huyu Laville nitampeleka cocoriko akashangae wale wahudumu warembo
@cutelove Njoo hukuMwanamke mmoja apatikana ubungo akiwa na 7800 akiitaji kurudi mwanza.
Jinsi 7800 ilivyo vunja mahusiano
Ndio unajua Leo? Mbona umechelewa ππKumbe kabadili jina
Heeeeeh unasema?? Sikusikii Ebu ongeza volume[emoji3][emoji3][emoji3] sie hatugombani tulishakubali kuwa tunapendwa wote
Giza likianza kuingiaSaa ngapi tunadrop uko
πππHili swali hawezi kukujibu hadharani,mfate sirini atakujibu.
Huwa sitaki mchezo linapokuja suala hili,hakika mtanange ulikuwa mzito sana,lakini mwisho wa siku walikata ngebe zao. Ninastahili pongezi za dhati mno.
Ndio unajua Leo? Mbona umechelewa ππ
Giza likianza kuingia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muomba Msaada Atoka Kimaisha Kwa Michango Ya Wana Jf!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa sio sirii Mzigua90 ni dume lililojivika uanamke.
Hatimaye MOTHER confesser asema kilichomfanya abadili ID
Trend ya ID mpya yathibitika ni kutokana na member wengi kuogopa kuwekwa picha zao hadharani
manengelo apotea katika mazingira ya kutatanisha. Polisii wanaendelea na uchunguzi kumjua member aliesababisha Manengelo kupotea.
Jifunze mbinu za kukwepa ban. Uk 7
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siri sio siri tena
Hatimaye ile new ID inayopita katika PM za wadada na kuwadodorishia 1M mods waiweka hadharani.
Cardiovascular utawaambia nini watu siku wakijua wewe ni muuza kuku pale chako ni chako? Muda wote unanukia mafuta ya kula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
Zile kuku tamu sana, kama ni yeye aniletee kuku nusu na ndizi mbili, natuma nauli.
Siri sio siri tena
Hatimaye ile new ID inayopita katika PM za wadada na kuwadodorishia 1M mods waiweka hadharani.
Aise, naona umenifukunyua hadi umejua nafanya wapi kazi ππ. Wewe huoni siku hizi nimekuwa mpole sana best.