JF Karibuni Tanzania Professionals Network

JF Karibuni Tanzania Professionals Network

Mimi ni mwanachama wa TPN. Lengo la kuanzisha network hii ilikuwa zuri, lakini nadhani hatujajipanga vizuri na kuangalia jinsi gani tunaweza tukautumia huu mtandao katika masuala yafuatayo: networking, information exchange, mentoring, professional development and business skills development.
 
Njimba,

kwa mawazo yangu mie nafikiri utakapotuma registration fee pamoja na annual fee, TPN wanapaswa kuwa na mechanism ya ku-verify information zote ulizotoa ikiwa ni pamoja na kucheki kuwa una-qualify kuwa mwanachama kisha wanakujulisha kuwa umekubaliwa kuwa mwanachama na pia katika kufanya verification yao ili kujua kuwa wewe unayesema kuwa ni fulani ndio hivyo kwamba ni wewe wanapaswa kutumia hata third part kufanya hili. Lakini kwa vile uanachama sio ishu ya life and death wanaweza wasihitaji kutumia verification organization ila wawe na utaratibu wa kucheki maelezo ya mtu na qualification zake kikatiba. kama hajaridhisha matakwa ya kuwa mwanachama wanamrudishia pesa na kumueleza kuwa ni lipi ambalo hakutimiza.

Asante sana GM. Nadhani haya ni mapendekezo mazuri sana ya kiutendaji. Haya pia tutayaangalia ndani ya TPN. Asante sana.
 
Mimi ni mwanachama wa TPN. Lengo la kuanzisha network hii ilikuwa zuri, lakini nadhani hatujajipanga vizuri na kuangalia jinsi gani tunaweza tukautumia huu mtandao katika masuala yafuatayo: networking, information exchange, mentoring, professional development and business skills development.

Dotori,

Afadhali umejitambulisha na hata kuja kumsaidia president wenu hapa, tulikuwa tunamuuwa bila huruma(just joking) naye kashikilia hata mkiniuwa mie siachilii! He has really set a good example on responsibility and committment!! Way to go Dotori and your President!!!
 
Sijapitia posts zote lakini mtazamo wangu ni kwamba si jukumu la TPN kufanya verification ya qualifications za wanachama. Nadhani tungetumia muda huu kujikita zaidi katika maeneo niliyoainisha hapo awali.
 
Sijapitia posts zote lakini mtazamo wangu ni kwamba si jukumu la TPN kufanya verification ya qualifications za wanachama. Nadhani tungetumia muda huu kujikita zaidi katika maeneo niliyoainisha hapo awali.

Dotori,

Sio kwamba nasuggest kuwa mambo ya verification yapewe kipa umbele, nilikuwa tu namjibu mwana JF mwenzangu, ukifuatilia thread unaweza kuona tulifikaje hapo.
 
Msimbe,
Ningeshauri ukaitisha mkutano wa wanachama ili tuweze kupeana mwelekeo wa wapi tulipotoka na wapi twende.
I have noted that the focus has been to open up more TPN branches and setting up some workshops, but I feel there is more that TPN can do.
Mkutano huu ukiitishwa mapema itakuwa bora zaidi.
 
Msimbe,
Ningeshauri ukaitisha mkutano wa wanachama ili tuweze kupeana mwelekeo wa wapi tulipotoka na wapi twende.
I have noted that the focus has been to open up more TPN branches and setting up some workshops, but I feel there is more that TPN can do.
Mkutano huu ukiitishwa mapema itakuwa bora zaidi.

Doroti,

TPN ikiitisha mkutano basi members wafanye brainstorming ya direction na future ya TPN, waje wakiwa na agenda za kufanyia kazi, isiwe ile mikutano wanaenda kumsikiliza mwenekiti na yey ndiye anakuwa na main agenda. Nafikiri kwa mwaka mmoja sasa wanachama wanaweza kuwa na tathmini nzuri mwelekea uwe vipi na utekelezaji wa majukumu uende vipi. wasio na moyo watakuwa wameishajulikana au kuonekana!
 
Doroti,

TPN ikiitisha mkutano basi members wafanye brainstorming ya direction na future ya TPN, waje wakiwa na agenda za kufanyia kazi, isiwe ile mikutano wanaenda kumsikiliza mwenyekiti na yeye ndiye anakuwa na main agenda. Nafikiri kwa mwaka mmoja sasa wanachama wanaweza kuwa na tathmini nzuri mwelekea uwe vipi na utekelezaji wa majukumu uende vipi. wasio na moyo watakuwa wameishajulikana au kuonekana!

Nakubaliana na wewe. Cha msingi cha kuangalia goinf forward ni jinsi gani we can harness the skillset within the TPN to better ourselves professionally, create business opportunities and also contribute positively in social, political and economical arenas.
 
kama watachukua pesa tu za registration na kukubali at face value kwamba wewe ni fulani na qualification zako ndio hizo then wanawela loop hole kwa wale ambao watakuwa wanatafuta benefit fulani na kuipata wanaona ni kuwa mwanachama. Professionals need to be really professionals. Kwa mfano unaweza ukaenda kwa mwanasheria na vyeti vyako pamoja na vitambulisho vyako pamoja na copy za hizo document then mwanasheria aka-certify au aka-notorize kuwa hizo ni true copies za originals. Cha muhimu hawahitaji ku-complicate issue nzima ya uanachama, ila inabidi wawe waangalifu. kama mtu atapata mkopo banki au kazi kwa dhamana ya TPN then TPN wanapaswa wawe makini kwa sababu kama chochote hakitaenda sawa na TPN walikubali qualifications au identity za mwanachama wao katika face value then watakuwa wameingia katika litigation ambazo zingeepukika.

Mzalendo GM, issues ulizozielezea ni muhimu sana. Ingawa bado hatujapata matatizo ni vizuri kujiwekea utaratibu wa kuhakikisha kuwa hakuna loophole itakayoachwa na kufanya wasio waaminifu watake advantage.
 
Nakubaliana na wewe. Cha msingi cha kuangalia goinf forward ni jinsi gani we can harness the skillset within the TPN to better ourselves professionally, create business opportunities and also contribute positively in social, political and economical arenas.

Excellent stated Doroti and I couldn't agree more with you!! Bravo!
 
Bw Mtsimbe...ur Organization needs to do more to convince others..and u should preach injili ya uzalendo to the current members of ur organization to be more active rather than sitting and waiting for the meetings only..my concern here is to rescue our beloved poor country from the pool of Mafisadi who make our country to be a laughing stock 'n the eyes of other nations...let ur Network/Organization be the active figure in this process of regain our reputation from other nations..msikubali kwa nia yeyote kumezwa na mafisadi hata kama wanachangia chama chenu kwa namna yeyote ile...be strong..ningependa Organization yenu iwe ni taswira ya uzalendo wa kweli na mtaheshimika na kupata members wengi na i hope kwa kuanzia hapo...tutapiga hatua kubwa sana katika kuliondolea taifa letu katika aibu nyingi ambazo zinatutesa kwa sasa... ''tatizo ni kuwa na humo ndani ya hicho chama utakuta na mafisadi nao wamejificha......!!''

Wakunyuti bro, asante sana. U have spoken as if u were in my mind. U know if TPN will become so strong, no body will complain about hardship of life as TPN can empower them. Please let us all join hands.

Warm and kind regards
 
Msimbe,
Ningeshauri ukaitisha mkutano wa wanachama ili tuweze kupeana mwelekeo wa wapi tulipotoka na wapi twende.
I have noted that the focus has been to open up more TPN branches and setting up some workshops, but I feel there is more that TPN can do.
Mkutano huu ukiitishwa mapema itakuwa bora zaidi.

Mkuu Dotori

Wakiweza kabla ya huo mkutano waambieni wajumbe wenu wapitie thread zote kwenye hii forum, nina imani mengi yamesemwa kuanzia vipengere vya katiba ya TPN, aina ya wanachama na jinsi ya kuwapata,etc

Mengi yameongelewa hapa, of course you are not bound to agree with JF members' pieces of advice; At least mengine yatawasaidia.

Ninapendekeza any person who is accredited member of any professional body like I, should be prioritised, so next time I visit your office will only show you my professional membership card and should register me at instant. Samething should be applied to registered engineers, doctors, lawyers, etc. Your organisation is all about Professionals. Isn't?

You should think also what will happen when you will have one milion members. What will happen when all founder members retire? Say in 20 years' time.

Be careful the Name Tanzania Professionals Network might be bigger than the way you people at TPN think. Please bear in mind that Tanzania has a population of almost 40 milion.

Njimba
 
Well spoken Wakunyuti!

Mimi ni mwanachama wa TPN. Lengo la kuanzisha network hii ilikuwa zuri, lakini nadhani hatujajipanga vizuri na kuangalia jinsi gani tunaweza tukautumia huu mtandao katika masuala yafuatayo: networking, information exchange, mentoring, professional development and business skills development.

Mzalendo Dotori, Thank you for coming. Unajua weakness kubwa sana tuliyonayo sasa hivi TPN nadhani ni kwa sisi viongozi na members kuwajibika. Kila mtu angefanya sehemu yake kama ipasavyo huenda TPN ingekuwa mbali sana.

Any way next month August 2008, tunafanya AGM na nimetoa hoja kwa wale wasioweza kuwajibika waachie ngazi. Kuna wengine wako tayari ili walio na energy ya kufanya kazi non-stop waweze kuingia katika uongozi na kuipeleka TPN mbali zaidi.

Ningependa sana wengi wajitokeze katika hili. Please spread the news.
 
Dotori,

Afadhali umejitambulisha na hata kuja kumsaidia president wenu hapa, tulikuwa tunamuuwa bila huruma(just joking) naye kashikilia hata mkiniuwa mie siachilii! He has really set a good example on responsibility and committment!! Way to go Dotori and your President!!!

LOL . . . Kama PM na Meremeta (joke haaa haaa)
 
Mkuu Dotori

Wakiweza kabla ya huo mkutano waambieni wajumbe wenu wapitie thread zote kwenye hii forum, nina imani mengi yamesemwa kuanzia vipengere vya katiba ya TPN, aina ya wanachama na jinsi ya kuwapata,etc

Mengi yameongelewa hapa, of course you are not bound to agree with JF members' pieces of advice; At least mengine yatawasaidia.

Ninapendekeza any person who is accredited member of any professional body like I, should be prioritised, so next time I visit your office will only show you my professional membership card and should register me at instant. Samething should be applied to registered engineers, doctors, lawyers, etc. Your organisation is all about Professionals. Isn't?

You should think also what will happen when you will have one milion members. What will happen when all founder members retire? Say in 20 years' time.

Be careful the Name Tanzania Professionals Network might be bigger than the way you people at TPN think. Please bear in mind that Tanzania has a population of almost 40 milion.

Njimba

Njimba,

Haya ndio maneno sasa nafikiri wataona na kusoma pia!
 
....Any way next month August 2008, tunafanya AGM.....Ningependa sana wengi wajitokeze katika hili. Please spread the news.

Unfortunately August, I will be out of town. But I can still contribute electronically if the agenda is distributed ahead of the meeting.
Msimbe, as I have said before the idea is good, but it needs all of us to use our diverse background to enrich it and take it to the next level.
 
Msimbe,
Ningeshauri ukaitisha mkutano wa wanachama ili tuweze kupeana mwelekeo wa wapi tulipotoka na wapi twende.
I have noted that the focus has been to open up more TPN branches and setting up some workshops, but I feel there is more that TPN can do.
Mkutano huu ukiitishwa mapema itakuwa bora zaidi.

Asante Mzalendo Dotori. Annual General Meeting itakuwa this coming August 2008. We are doing a ground work for that meeting now including seeking opinions here at JF.
 
Doroti,

TPN ikiitisha mkutano basi members wafanye brainstorming ya direction na future ya TPN, waje wakiwa na agenda za kufanyia kazi, isiwe ile mikutano wanaenda kumsikiliza mwenekiti na yey ndiye anakuwa na main agenda. Nafikiri kwa mwaka mmoja sasa wanachama wanaweza kuwa na tathmini nzuri mwelekea uwe vipi na utekelezaji wa majukumu uende vipi. wasio na moyo watakuwa wameishajulikana au kuonekana!

Thanks GM. Well presnted observation.
 
Nakubaliana na wewe. Cha msingi cha kuangalia goinf forward ni jinsi gani we can harness the skillset within the TPN to better ourselves professionally, create business opportunities and also contribute positively in social, political and economical arenas.

Thanks Datori. Please let us meet before if possible to share ideas. U dont need to disclose your identity if u prefer so, but I really want TPN to make a huge transformation now than ever. One year is enough to study ourselves and make necessary changes.
 
Back
Top Bottom