jf live long

jf live long

Karibu mgeni,vp umekuja na shemeji au ? ila usihofu karibu free stresss zone tufurahi pamoja.
 
outline five reasons to support your comment

1. Unajiamini mno kuliko wenyeji
2. unazielewa tabia za wenyeji wengi mfano NYANI NGABU
3. Ulishapigwa ban kwa ile id yako ya mwanzo
4. umekuja moja kwa moja mmu badala ya kuenda kwa wageni(wageni lazima waende utambulisho)
5. una ids nyingi! (mtazamo tu)
 
1. Unajiamini mno kuliko wenyeji
2. unazielewa tabia za wenyeji wengi mfano NYANI NGABU
3. Ulishapigwa ban kwa ile id yako ya mwanzo
4. umekuja moja kwa moja mmu badala ya kuenda kwa wageni(wageni lazima waende utambulisho)
5. una ids nyingi! (mtazamo tu)

1 nimefundishwa kujiamini na mama yangu tangu mdogo mama yangu ni mwalimu
2refer to nyaningabu comment ameeniita mgeni kisoda nikasema ana vituko kwa kuangalia jina lake na tabia za nyani ulikuwa utank
3sijawahi na sijui maana ya ban ki jf
4majukwaa sijayajua vizuri kuku mgeni hakosi kamba mguuni
5mtazamo wako si sahihi
 
1 nimefundishwa kujiamini na mama yangu tangu mdogo mama yangu ni mwalimu
2refer to nyaningabu comment ameeniita mgeni kisoda nikasema ana vituko kwa kuangalia jina lake na tabia za nyani ulikuwa utank
3sijawahi na sijui maana ya ban ki jf
4majukwaa sijayajua vizuri kuku mgeni hakosi kamba mguuni
5mtazamo wako si sahihi

Mkweli mgeni unajua kujamiana(kuchangamana) na jamii.
 
1 nimefundishwa kujiamini na mama yangu tangu mdogo mama yangu ni mwalimu
2refer to nyaningabu comment ameeniita mgeni kisoda nikasema ana vituko kwa kuangalia jina lake na tabia za nyani ulikuwa utank
3sijawahi na sijui maana ya ban ki jf
4majukwaa sijayajua vizuri kuku mgeni hakosi kamba mguuni
5mtazamo wako si sahihi

ndio wenyeji wako walivyo wavumilie, ukiona mashambulizi yanazidi jisalimishe kwangu, nina chumba cha wageni na taulo na blanket vipo
 
Back
Top Bottom