KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Haya nisamehe bure dada..🙏🙏Hujui ulipokosea??
Uliposema tu actually
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya nisamehe bure dada..🙏🙏Hujui ulipokosea??
Uliposema tu actually
Hakika....unastahiliNimetoboa masikio lakini haijawahi kutokea nimevaa hereni kabisa.
Nimeshakidhi vigezo
Eheee ndani yake ninasukariukiingia huchomoki 😁😁Wivu tu! Haya dada we endelea kutafutatafuta ila kwangu kaa ukijua una mawifi!!.. na huo uchibonge utapata kweli..🤣🤣🤣🤣
imeisha hiyoHaya nisamehe bure dada..🙏🙏
Hallelujah 👏👏Hakika....unastahili
Watata huwataki mkuuWanawake watukutu/watundu ila sio kitandani.
Ati sukarisukari ndo unavyojifariji..😅Eheee ndani yake ninasukariukiingia huchomoki 😁😁
Hebu huko tena uniwache.
Usisahau kuvaa ndomu na hao mawifi
Eheee kuna sukari na chumvi kwa mbali blaza.Ati sukarisukari ndo unavyojifariji..😅
Ndomu sivai nilichokuwa nakitafuta nilishaga kipata niwache..🤣
🤣🤣 Takupiga chako sitaki maswali ya hivyo..🤣Eheee kuna sukari na chumvi kwa mbali blaza.
Unatimu za mpira ngapi blaza.
Ka video tafadhariNikipewa French kiss nachanganyikiwa
Aimeeeen[emoji141][emoji141][emoji141][emoji141][emoji141][emoji1774][emoji1774][emoji1774][emoji1774]Hallelujah [emoji122][emoji122]
Hapana mkuu me na watu watata hatuelewani napenda watu watumia ubongo.Watata huwataki mkuu
Asee kumbe tuko wengi kuna kipindi ninakuwa sina uwezo wa kusaidia hapo inafika wakati in sacrifice resources chanche nilizonazo. Namshukuru mungu huwa ananilipa zaidi na nitoavyo.Nikiona mtu anapitia mazingira magumu huwa navaaga viatu vyao..najikuta napata huzuni mno machozi hunimwagika.niko tayari kumpa chakula nikalala na njaa.
Ndoto yangu kubwa mnoo na ni namuomba Mungu anisimamie katika hili,,ni kuweza kuwasaidia watu wenye uhitaji.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]kama hujapitia shida na magumu huwezi Elewa.
Sorry nimeweka mada zaidi ya moja sehemu moja
Changu ndio😅😅thubutuuuuu tutapigana🤣🤣 Takupiga chako sitaki maswali ya hivyo..🤣
👏👨⚖️👩⚖️Aimeeeen[emoji141][emoji141][emoji141][emoji141][emoji141][emoji1774][emoji1774][emoji1774][emoji1774]
Wacha bhanaHapana mkuu me na watu watata hatuelewani napenda watu watumia ubongo.
Ke akiwa mtukutu halafu ana nywele ndefu naweza uza ng'ombe zetu zote za kule kwetu kwa ajili yake.😂