Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Madame S sina maelezo kwa huyu (unaelewa babe)

Hajar upole wake

Mzigua90 huyu dada ana madini ya ajabu i appreciate

Mwifwa anafanyakazi nzuri sana me na Madame S tunaelewa

Ushimen bado unakumbuka?? unapotoa mguu wako naweka wangu hebu fungua profile yako nataka kukufollow

Da'Vinci i appreciate bro

Shunie shkamoo

Sky Eclat nakuelewa sana kule jf doctor usichoke kwa ushauri i appreciate

Sesten Zakazaka madini yako nayaelewaga ingawa nayapitaga kimya kimya sometimes

snowhite nakuelewa pia

Carlos The Jackal i appreciate mr 😀😀 nakujua unajua??

cute b i appreciate....GGMU

mpo wengi aisee
Archduke

nani bado???

Numbisa jiranii i know you know...punguza kujificha sana huko kwenye malikes
Waoh!!!! Asante sana
#GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wa kulalamika kila uzi hapa

Yan mim sijui nna dam ya bundi kulalek......

Ebu fanya edit kwa post yako bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
tena naomba nikupe appreciation kwenye comment yako peke yako

nakukubali kinyama bosi

ila sijajua dawa ya kuondoa huu mkosi ulionao hata maji ya bahari naona yatadunda 😀😀😀

i appreciate braza
 
Mm nawakubali wana jf wote jamani mbarikiwe sana [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] bila kusahau members wa makapuku wenzangu

Mbebez wangu Wick nakusahau vipi jamani sema upo hapo kwa wana jf wote mbebez mwenye maakili makubwa nakupenda mm [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Madame S sina maelezo kwa huyu (unaelewa babe)

Hajar upole wake

Mzigua90 huyu dada ana madini ya ajabu i appreciate

Mwifwa anafanyakazi nzuri sana me na Madame S tunaelewa

Ushimen bado unakumbuka?? unapotoa mguu wako naweka wangu hebu fungua profile yako nataka kukufollow

Da'Vinci i appreciate bro

Shunie shkamoo

Sky Eclat nakuelewa sana kule jf doctor usichoke kwa ushauri i appreciate

Sesten Zakazaka madini yako nayaelewaga ingawa nayapitaga kimya kimya sometimes

snowhite nakuelewa pia

Carlos The Jackal i appreciate mr 😀😀 nakujua unajua??

cute b i appreciate....GGMU

mpo wengi aisee
Archduke

nani bado???

Numbisa jiranii i know you know...punguza kujificha sana huko kwenye malikes
Kama kawaida yangu, kazi na dawa
 
Heaven sent hekma zake

Nifah she is my girl

Dinazarde my binamu toka enzii

Shunie my friend nje ndani
Mzigua nampenda she is beuty with brain
Sky eclat nampenda,nalendwa pia!hawa wamama acha tu


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] si unajua vile ninavyokukubali na kukupenda
 
Marahaba [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] mzima wewe
Madame S sina maelezo kwa huyu (unaelewa babe)

Hajar upole wake

Mzigua90 huyu dada ana madini ya ajabu i appreciate

Mwifwa anafanyakazi nzuri sana me na Madame S tunaelewa

Ushimen bado unakumbuka?? unapotoa mguu wako naweka wangu hebu fungua profile yako nataka kukufollow

Da'Vinci i appreciate bro

Shunie shkamoo

Sky Eclat nakuelewa sana kule jf doctor usichoke kwa ushauri i appreciate

Sesten Zakazaka madini yako nayaelewaga ingawa nayapitaga kimya kimya sometimes

snowhite nakuelewa pia

Carlos The Jackal i appreciate mr 😀😀 nakujua unajua??

cute b i appreciate....GGMU

mpo wengi aisee
Archduke

nani bado???

Numbisa jiranii i know you know...punguza kujificha sana huko kwenye malikes
 
Wale wa darajani, wale wa OT , wale wa Majogoo na arsenal fans. (Tusichekane lakini tutainuka tuu[emoji13][emoji13]) And My special appreciation goes to sumbai [emoji8][emoji8][emoji8]
Don Clericuzio boss mwenyewe mwenye wadhifa.
4G LTE ooh sijui nisimeje. Acha muda uongee.
espy Dada wa mie.
Madame S [emoji177]
everlenk I miss you mom..
sister jamani ujeee
Bailly5 my brother from another mother,
Bila kumsahau jirani yangu SHAMMA.
Asanten sana kwa support zenu za mawazo na wadhifa. Nawapenda.



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Back
Top Bottom