Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapa ntapata namba/Mm pm situmii kanu tuongee hapahapa
Wow!! Mekua number one kwenye list ako honeyMadame S sina maelezo kwa huyu (unaelewa babe)
Hajar upole wake
Mzigua90 huyu dada ana madini ya ajabu i appreciate
Mwifwa anafanyakazi nzuri sana me na Madame S tunaelewa
Ushimen bado unakumbuka?? unapotoa mguu wako naweka wangu hebu fungua profile yako nataka kukufollow
Da'Vinci i appreciate bro
Shunie shkamoo
Sky Eclat nakuelewa sana kule jf doctor usichoke kwa ushauri i appreciate
Sesten Zakazaka madini yako nayaelewaga ingawa nayapitaga kimya kimya sometimes
snowhite nakuelewa pia
Carlos The Jackal i appreciate mr 😀😀 nakujua unajua??
cute b i appreciate....GGMU
mpo wengi aisee
Archduke
nani bado???
Numbisa jiranii i know you know...punguza kujificha sana huko kwenye malikes
piga kaziKama kawaida yangu, kazi na dawa
Niletee dodoki ukirudi plz
My dada,Wale wa darajani, wale wa OT , wale wa Majogoo na arsenal fans. (Tusichekane lakini tutainuka tuu[emoji13][emoji13]) And My special appreciation goes to sumbai [emoji8][emoji8][emoji8]
Don Clericuzio boss mwenyewe mwenye wadhifa.
4G LTE ooh sijui nisimeje. Acha muda uongee.
espy Dada wa mie.
Madame S [emoji177]
everlenk I miss you mom..
sister jamani ujeee
Bailly5 my brother from another mother,
Bila kumsahau jirani yangu SHAMMA.
Asanten sana kwa support zenu za mawazo na wadhifa. Nawapenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
tupendane mpenziWow!! Mekua number one kwenye list ako honey
Thank you laazizi, nikianza kusema navutiwa na kipi kwako nitaandika pages na nisimaliza mambo yote yanayonipendeza kwako
Kikubwa,nakushukuru kwa muda wako, uaminifu wako na upendo wako kwa unayonifanyia, unanifanya nijione complete, Archduke nakupenda sanaa
Hivyo vistory unapigaga wapi?
Sasa hapa ntapata namba/
Shukran mkuuArchduke, s tu kwa kua tu wapenzi hapana, bali vile uavyotekeleza majukum yako na kusimama kama mwanaume kwenye gurudum letu la kimahusiano inanifanya nikuone kama mpenzi, rafiki, mume na baba mwema wa baadae. Sitaacha kukushukuru kwa hiki unafanya kw ajili yangu, and yes i promise to be with you kivyovyote vile, had pale Allah atakapopitisha faradhi yake,
Karucee nakukubali na kuvutiwa maandiko, nakiri nimesoma mada zako zote had siku unajiunga humu, nakupenda na kukubali sana ntakuja na Archduke utufundishe kingereza
Don Clericuzio, hope you know vile nakukubali wewe ni zaidi ya kaka kwangu
Sky Eclat napenda kusoma maandiko yako haswa jukwaa la madaktari, na pia vile ukichapiaga kwangu hua nburudan mana hua nacheka sana
steve mollel brother una kipaji nilianza kukusoma kimya kimya had meshindwa kuvumilia nimejitokeza hadharani kabisa usiache kutunga riwaya ni kipaji unacho
Mwifwa hahahhahaha nakupenda tu na kazi yako nna mpango wa kukupandisha cheo
mahondaw wewe ni mwanamke jasiri, umenifundisha kusimamia kile unaona ni sahihi hasa linapokuja swala la baby hahahhah
Asprin na Daby naachaje kuwasahau na coments zenu za kunichekesha mmekua watu wa kuniongezea siku za kuish kila nisomapo comments zenu
Tater hope you know ni jinsi gani nathamini mchango wako kule kwenye lile jukwaa letu
Slim5, BAK, Shunie Sesten Zakazaka, Hajar, Khantwe i miss you,
sumbai yo the best!!
Nawapenda na kuwakubali wengi siwez kuwamaliza kuwataja jaman
Niniakijibu nitag
Na maongezi nyeti na wewe?Khaaaaa no tena ya nn
Karib sanaShukran mkuu