Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Madame S sina maelezo kwa huyu (unaelewa babe)

Hajar upole wake

Mzigua90 huyu dada ana madini ya ajabu i appreciate

Mwifwa anafanyakazi nzuri sana me na Madame S tunaelewa

Ushimen bado unakumbuka?? unapotoa mguu wako naweka wangu hebu fungua profile yako nataka kukufollow

Da'Vinci i appreciate bro

Shunie shkamoo

Sky Eclat nakuelewa sana kule jf doctor usichoke kwa ushauri i appreciate

Sesten Zakazaka madini yako nayaelewaga ingawa nayapitaga kimya kimya sometimes

snowhite nakuelewa pia

Carlos The Jackal i appreciate mr 😀😀 nakujua unajua??

cute b i appreciate....GGMU

mpo wengi aisee
Archduke

nani bado???

Numbisa jiranii i know you know...punguza kujificha sana huko kwenye malikes
Wow!! Mekua number one kwenye list ako honey


Thank you laazizi, nikianza kusema navutiwa na kipi kwako nitaandika pages na nisimaliza mambo yote yanayonipendeza kwako

Kikubwa,nakushukuru kwa muda wako, uaminifu wako na upendo wako kwa unayonifanyia, unanifanya nijione complete, Archduke nakupenda sanaa
 
Kila siku nawaandika leo ngoja niwe tofauti NAWAKUBALI WOTE MNAOPENDA COMMENTS ZANGU NA KUNIRUSHIA MUAMALA IMEBIDI NIWE NA NO SPECIAL KWA AJILI HIYO, nakukubali wewe uliyenipa bonge la deal humu yaani navimba balaa aaa mnanifanya nkiandika comments niwe natumia hata kaubongo kiduchu.
Namkubali baba la baba kwa kunifanyia bonge la party nyota 5 hotel.

Mbarikiwe
 
Wale wa darajani, wale wa OT , wale wa Majogoo na arsenal fans. (Tusichekane lakini tutainuka tuu[emoji13][emoji13]) And My special appreciation goes to sumbai [emoji8][emoji8][emoji8]
Don Clericuzio boss mwenyewe mwenye wadhifa.
4G LTE ooh sijui nisimeje. Acha muda uongee.
espy Dada wa mie.
Madame S [emoji177]
everlenk I miss you mom..
sister jamani ujeee
Bailly5 my brother from another mother,
Bila kumsahau jirani yangu SHAMMA.
Asanten sana kwa support zenu za mawazo na wadhifa. Nawapenda.



Sent using Jamii Forums mobile app
My dada,

Najiona fahari kwa hiki ninachokisoma hapa

Asante jamani nakupenda sana sana sana
 
Wow!! Mekua number one kwenye list ako honey


Thank you laazizi, nikianza kusema navutiwa na kipi kwako nitaandika pages na nisimaliza mambo yote yanayonipendeza kwako

Kikubwa,nakushukuru kwa muda wako, uaminifu wako na upendo wako kwa unayonifanyia, unanifanya nijione complete, Archduke nakupenda sanaa
tupendane mpenzi

sisemi sana
 
Archduke, s tu kwa kua tu wapenzi hapana, bali vile uavyotekeleza majukum yako na kusimama kama mwanaume kwenye gurudum letu la kimahusiano inanifanya nikuone kama mpenzi, rafiki, mume na baba mwema wa baadae. Sitaacha kukushukuru kwa hiki unafanya kw ajili yangu, and yes i promise to be with you kivyovyote vile, had pale Allah atakapopitisha faradhi yake,

Karucee nakukubali na kuvutiwa maandiko, nakiri nimesoma mada zako zote had siku unajiunga humu, nakupenda na kukubali sana ntakuja na Archduke utufundishe kingereza

Don Clericuzio, hope you know vile nakukubali wewe ni zaidi ya kaka kwangu

Sky Eclat napenda kusoma maandiko yako haswa jukwaa la madaktari, na pia vile ukichapiaga kwangu hua nburudan mana hua nacheka sana

SteveMollel brother una kipaji nilianza kukusoma kimya kimya had meshindwa kuvumilia nimejitokeza hadharani kabisa usiache kutunga riwaya ni kipaji unacho

Mwifwa hahahhahaha nakupenda tu na kazi yako nna mpango wa kukupandisha cheo

mahondaw wewe ni mwanamke jasiri, umenifundisha kusimamia kile unaona ni sahihi hasa linapokuja swala la baby hahahhah

Asprin na Daby naachaje kuwasahau na coments zenu za kunichekesha mmekua watu wa kuniongezea siku za kuish kila nisomapo comments zenu

Tater hope you know ni jinsi gani nathamini mchango wako kule kwenye lile jukwaa letu

Slim5, BAK, Shunie Sesten Zakazaka, Hajar, CUTE bKhantwe i miss you,

sumbai yo the best!!


Nawapenda na kuwakubali wengi siwez kuwamaliza kuwataja jaman
 
Archduke, s tu kwa kua tu wapenzi hapana, bali vile uavyotekeleza majukum yako na kusimama kama mwanaume kwenye gurudum letu la kimahusiano inanifanya nikuone kama mpenzi, rafiki, mume na baba mwema wa baadae. Sitaacha kukushukuru kwa hiki unafanya kw ajili yangu, and yes i promise to be with you kivyovyote vile, had pale Allah atakapopitisha faradhi yake,

Karucee nakukubali na kuvutiwa maandiko, nakiri nimesoma mada zako zote had siku unajiunga humu, nakupenda na kukubali sana ntakuja na Archduke utufundishe kingereza

Don Clericuzio, hope you know vile nakukubali wewe ni zaidi ya kaka kwangu

Sky Eclat napenda kusoma maandiko yako haswa jukwaa la madaktari, na pia vile ukichapiaga kwangu hua nburudan mana hua nacheka sana

steve mollel brother una kipaji nilianza kukusoma kimya kimya had meshindwa kuvumilia nimejitokeza hadharani kabisa usiache kutunga riwaya ni kipaji unacho

Mwifwa hahahhahaha nakupenda tu na kazi yako nna mpango wa kukupandisha cheo

mahondaw wewe ni mwanamke jasiri, umenifundisha kusimamia kile unaona ni sahihi hasa linapokuja swala la baby hahahhah

Asprin na Daby naachaje kuwasahau na coments zenu za kunichekesha mmekua watu wa kuniongezea siku za kuish kila nisomapo comments zenu

Tater hope you know ni jinsi gani nathamini mchango wako kule kwenye lile jukwaa letu

Slim5, BAK, Shunie Sesten Zakazaka, Hajar, Khantwe i miss you,

sumbai yo the best!!


Nawapenda na kuwakubali wengi siwez kuwamaliza kuwataja jaman
Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom