Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

-nikianza na raisi asiye na ukomo uraisi wake anaujua mwenyewe the chimney ngabu Nyani Ngabu

- dada angu najua kuwa unajua nakukubali Mama Sabrina

-mkuu Mzigua90 heshima kwako

- Mwifwa respect kwako mkuu

- theriogenology heshima yako popote ulipo

- Demiss respect hako ka avatar naomba usibadilishe 😂😂

Wick

Numbisa shafih dauda wangu huyu
 
[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nimuulize Wick si utaniruhusu Darmian anichukue kunipeleka nje
Wiki nzima hupokei simu zangu, nikija huku nakutana na mada za kugaiwa, kutolewa out!..
Hebu nambie ulifumania nini last tym kwenye simu yangu, usije kuwa uliona picha za mtoto wa mjomba kaka wa shemeji muoa dada angu ujue!..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo wale wadada wote ndugu zako
Wiki nzima hupokei simu zangu, nikija huku nakutana na mada za kugaiwa, kutolewa out!..
Hebu nambie ulifumania nini last tym kwenye simu yangu, usije kuwa uliona picha za mtoto wa mjomba kaka wa shemeji muoa dada angu ujue!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…