Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

stritglow

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
622
Reaction score
1,750
Jf ni a community ambayo ina mchanganyiko wa watu mbalimbali, wengine wanaweza wakakukasirisha na wengine wakakufurahisha, katika kujumuika na watu huku. Mtu unatokea kuvutiwa na watu mbalimbali, mwingine unakuta unapenda ucheshi wake mwengine jinsi anavoshauri watu, mwingine upole wake, mwingine ukarimu/friendliness wake, mwingine ongea/swaga zake, mwingine unakuta it's something as simple as an avatar n.k

So this thread ni kwaajili ya kuwa-apreciate wanajf mbalimbali, kwakuwaambia ni nini umekifurahia toka kwao. Don't forget to tag whomever utakaemu-appreciate!

unnamed (1).png



unnamed.jpg
 
Madame S sina maelezo kwa huyu (unaelewa babe)

Hajar upole wake

Mzigua90 huyu dada ana madini ya ajabu i appreciate

Mwifwa anafanyakazi nzuri sana me na Madame S tunaelewa

Ushimen bado unakumbuka?? unapotoa mguu wako naweka wangu hebu fungua profile yako nataka kukufollow

Da'Vinci i appreciate bro

Shunie shkamoo

Sky Eclat nakuelewa sana kule jf doctor usichoke kwa ushauri i appreciate

Sesten Zakazaka madini yako nayaelewaga ingawa nayapitaga kimya kimya sometimes

snowhite nakuelewa pia

Carlos The Jackal i appreciate mr 😀😀 nakujua unajua??

cute b i appreciate....GGMU

mpo wengi aisee
Archduke

nani bado???

Numbisa jiranii i know you know...punguza kujificha sana huko kwenye malikes
 
Madame S sina maelezo kwa huyu (unaelewa babe)

Hajar upole wake

Mzigua90 huyu dada ana madini ya ajabu i appreciate

Mwifwa anafanyakazi nzuri sana me na Madame S tunaelewa

Ushimen bado unakumbuka?? unapotoa mguu wako naweka wangu hebu fungua profile yako nataka kukufollow

Da'Vinci i appreciate bro

Shunie shkamoo

Sky Eclat nakuelewa sana kule jf doctor usichoke kwa ushauri i appreciate

Sesten Zakazaka madini yako nayaelewaga ingawa nayapitaga kimya kimya sometimes

snowhite nakuelewa pia

Carlos The Jackal i appreciate mr 😀😀 nakujua unajua??

cute b i appreciate....GGMU

mpo wengi aisee
Archduke

nani bado???
Mzee wa kulalamika kila uzi hapa

Yan mim sijui nna dam ya bundi kulalek......

Ebu fanya edit kwa post yako bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wa darajani, wale wa OT , wale wa Majogoo na arsenal fans. (Tusichekane lakini tutainuka tuu[emoji13][emoji13]) And My special appreciation goes to sumbai [emoji8][emoji8][emoji8]
Don Clericuzio boss mwenyewe mwenye wadhifa.
4G LTE ooh sijui nisimeje. Acha muda uongee.
espy Dada wa mie.
Madame S [emoji177]
everlenk I miss you mom..
sister jamani ujeee
Bailly5 my brother from another mother,
Bila kumsahau jirani yangu SHAMMA.
Asanten sana kwa support zenu za mawazo na wadhifa. Nawapenda.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom